Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure,Hata Toyota mark x ya 2005,Premium 300G Ina hio autopilot,no big deal.Tech ya zamani sana hio.Sema iyo ni simple IPA ata Toyota wanayo since 2010, Auto Pilot ya Tesla shikamoo. Umasikini tu. Ila mzee, wangenikoma.
Ha ha ha! Hata mimi napenda kuchekecha mwenyewe..Raha ya gari, kulindesha mwenyewe
Siyo Toyota peke yao, manufactures karibu wote wanaweka hiyo feature ila kwa extra money - kama unaagiza toka kiwandani. Na hawa Daimler kiboko iko kwenye S class hii cha mtoto maana S class na tairi za nyuma zinakata kona.Sema iyo ni simple IPA ata Toyota wanayo since 2010, Auto Pilot ya Tesla shikamoo. Umasikini tu. Ila mzee, wangenikoma.
Hawa jamaa ushamba hauwaishi, gari classic lakini bado anatokea dirishanihiii gari kumbe ni tamu hivi sikujua kama ina hiii kitu iko poa sana nimeipenda ina bidi nikanunue siku moja nikienda mbinguni
Tesla zinalalamikiwa kwa kuwa na finishing quality mbovu sana.Zikija Tesla zenye FSD africa tutafanya nazo ujinga sana.
Autopilot ya Tesla ukiitumia dar inakuua maana wanadai inadanganyika kirahisiSema iyo ni simple IPA ata Toyota wanayo since 2010, Auto Pilot ya Tesla shikamoo. Umasikini tu. Ila mzee, wangenikoma.
Tatizo la walalamishi wa Tesla wengi ni kama walalamishi wa IPhone, wanalalamika kitu ambacho hawajawahi kukitumia. Tesla zingekuwa mbovu zisingeuzwa kama njugu.Tesla zinalalamikiwa kwa kuwa na finishing quality mbovu sana.
Naona hii feature ya gari kujipaki iko kwenye gari nyingi latest kabisa.
Ningekuwa na uwezo wa kununua EV ningenunua ford pickup truck au EV ya Lucid air sio Tesla
Hapana sio mm, mimi nasomaga habari za tesla na post watumiaji wanazopost twitter na kumtag elon na mitandao ya kureview magari, wanasema finishing ya tesla sio poa yan unaweza eti kuta gaps kwenye labda angle dashboard inapokutana na body ya gari yani hizo quality issuesTatizo la walalamishi wa Tesla wengi ni kama walalamishi wa IPhone, wanalalamika kitu ambacho hawajawahi kukitumia. Tesla zingekuwa mbovu zisingeuzwa kama njugu.
Ni kweli.Hapana sio mm, mimi nasomaga jabari za tesla.na post watumiaji wanazopost twitter na kumtag elon na mitandao ya kureview magari, wanasema finishing ya tesla sio poa yan unaweza eti kuta gaps kwenye labda engle dashboard inapokutana na body ya gari yani hizo quality issues
Wajapan wa Tokyo hamshindwi jambo 😄😄😄Sure,Hata Toyota mark x ya 2005,Premium 300G Ina hio autopilot,no big deal.Tech ya zamani sana hio.
Hahah sisi hatupendi kujionyesha tu Kama alikiba vile hahah.Wajapan wa Tokyo hamshindwi jambo 😄😄😄
Gari inayouza kwa kasi zaidi duniani inalalamikiwa kuwa na build quality poor? Issues zilikuwepo ila zinakuwa fixed as fast as they come.Tesla zinalalamikiwa kwa kuwa na finishing quality mbovu sana.
Naona hii feature ya gari kujipaki iko kwenye gari nyingi latest kabisa.
Ningekuwa na uwezo wa kununua EV ningenunua ford pickup truck au EV ya Lucid air sio Tesla
Sio kweli, fuatilia ni suala linalolalamikiwa sana. Yani wakitaja magari yenye finishing quality mbovu, Tesla hakosi. Na hizo ni small details kama kuacha gapes sehemu vitu vinapoungana, mara sijui seat cover sometimes kuacha baadhi ya sehemu wazi yani vitu kama hivyo.Gari inayouza kwa kasi zaidi duniani inalalamikiwa kuwa na build quality poor? Issues zilikuwepo ila zinakuwa fixed as fast as they come.