Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Ni mtangazaji wa Redio huko Kesho na umri wa miaka 26 na madenti wenyewe wana 20.
Madenti wanasema hawajawi kutenganishwa tangu utoto, shuleni hadi ukubwani.
Mabaharia wa JF naona tayari mmeshaanza fantasies zenu za threesome hahahah.
Jamaa anasema:
“Niliona wanafanana kwa kila kitu. Ukiuliza swali, wanajibu pamoja. Nikaanza kuwachumbia na wakanipenda. Kimsingi huwezi kuongea na mmoja akamtenga mwenzake. Kwa hiyo hata nikipiga simu, lazima niwajumuishe wote wawili,” amesema.
Anyway, Maisha yaendelee.
Madenti wanasema hawajawi kutenganishwa tangu utoto, shuleni hadi ukubwani.
Mabaharia wa JF naona tayari mmeshaanza fantasies zenu za threesome hahahah.
Jamaa anasema:
“Niliona wanafanana kwa kila kitu. Ukiuliza swali, wanajibu pamoja. Nikaanza kuwachumbia na wakanipenda. Kimsingi huwezi kuongea na mmoja akamtenga mwenzake. Kwa hiyo hata nikipiga simu, lazima niwajumuishe wote wawili,” amesema.
Anyway, Maisha yaendelee.