emmanuel kicha
Member
- Jul 30, 2018
- 20
- 12
Habari, kuna jamaa yng wa karibu sana, anasumbuliwa na tatizo la kuvimba korodani moja la kushoto, kwamaelezo yke anasema korodani hilo limevimba hadi kufikia ukubwa wa yai la kuku, wakati lile korodani la kulia limezidi kusinyaa na kuwa dogo km ukubwa wa panadol, na anakoishi ni kijijini sana, tatizo hili limedumu nae yapata mwaka ss, ila mwanzo lilianza kwa korodani kuuma kiasi fulani na kumpa maumivu ya wastani bdae ndo maumivu yakapotea hdi ss hasikii maumivu.
Kupitia kwangu anaomba mumsaidie ushaur au km kuna mwana jf anajua dawa amsaidie, na kingine anataka kujua hilo tatzo ni ugonjwa gani.
Naomba kuwasilisha
Asanteni,
By Mwakilishi.
Kupitia kwangu anaomba mumsaidie ushaur au km kuna mwana jf anajua dawa amsaidie, na kingine anataka kujua hilo tatzo ni ugonjwa gani.
Naomba kuwasilisha
Asanteni,
By Mwakilishi.