Kwa nn tuamini haya madai?huyu jamaa tulijuana kipindi tupo A-level pale tabora boys kwa sababu wote tulikuwa vichwa sana darasani,matokeo ya form six wote tulipata division one ya point 3 na tulipata scholarship za kuja Germany ila jamaa akasema yeye anakomaa udsm.matokeo yake leo nimekutana naye analalama anadai bora hata asingesoma kwani amemaliza na g.p.a mbovu sana hata masters hawezi kusoma sababu ya chuki binafsi za ma professor wa pale.ananionea wivu mimi nipo nasoma zangu masterz now sweden
huyu jamaa tulijuana kipindi tupo A-level pale tabora boys kwa sababu wote tulikuwa vichwa sana darasani,matokeo ya form six wote tulipata division one ya point 3 na tulipata scholarship za kuja Germany ila jamaa akasema yeye anakomaa udsm.matokeo yake leo nimekutana naye analalama anadai bora hata asingesoma kwani amemaliza na g.p.a mbovu sana hata masters hawezi kusoma sababu ya chuki binafsi za ma professor wa pale.ananionea wivu mimi nipo nasoma zangu masterz now sweden
huyu jamaa tulijuana kipindi tupo A-level pale tabora boys kwa sababu wote tulikuwa vichwa sana darasani,matokeo ya form six wote tulipata division one ya point 3 na tulipata scholarship za kuja Germany ila jamaa akasema yeye anakomaa udsm.matokeo yake leo nimekutana naye analalama anadai bora hata asingesoma kwani amemaliza na g.p.a mbovu sana hata masters hawezi kusoma sababu ya chuki binafsi za ma professor wa pale.ananionea wivu mimi nipo nasoma zangu masterz now sweden
huyu jamaa tulijuana kipindi tupo A-level pale tabora boys kwa sababu wote tulikuwa vichwa sana darasani,matokeo ya form six wote tulipata division one ya point 3 na tulipata scholarship za kuja Germany ila jamaa akasema yeye anakomaa udsm.matokeo yake leo nimekutana naye analalama anadai bora hata asingesoma kwani amemaliza na g.p.a mbovu sana hata masters hawezi kusoma sababu ya chuki binafsi za ma professor wa pale.ananionea wivu mimi nipo nasoma zangu masterz now sweden
Na unahakika gan tatizo hilo lipo UD or ni la UD pekee, we kilaza huna lolote ulitamani kusoma TBoys ukashindwa ukatamani UD ikakushinda umeamua kuweka biff, how pathetic. Nambie chuo ulichosoma German nd Sweden nikushushue hapahapa...
huyu jamaa tulijuana kipindi tupo A-level pale tabora boys kwa sababu wote tulikuwa vichwa sana darasani,matokeo ya form six wote tulipata division one ya point 3 na tulipata scholarship za kuja Germany ila jamaa akasema yeye anakomaa udsm.matokeo yake leo nimekutana naye analalama anadai bora hata asingesoma kwani amemaliza na g.p.a mbovu sana hata masters hawezi kusoma sababu ya chuki binafsi za ma professor wa pale.ananionea wivu mimi nipo nasoma zangu masterz now sweden
huyu jamaa tulijuana kipindi tupo A-level pale tabora boys kwa sababu wote tulikuwa vichwa sana darasani,matokeo ya form six wote tulipata division one ya point 3 na tulipata scholarship za kuja Germany ila jamaa akasema yeye anakomaa udsm.matokeo yake leo nimekutana naye analalama anadai bora hata asingesoma kwani amemaliza na g.p.a mbovu sana hata masters hawezi kusoma sababu ya chuki binafsi za ma professor wa pale.ananionea wivu mimi nipo nasoma zangu masterz now sweden
wewe na natalia ni ndugu? (bebish posts)
huyu jamaa tulijuana kipindi tupo A-level pale tabora boys kwa sababu wote tulikuwa vichwa sana darasani,matokeo ya form six wote tulipata division one ya point 3 na tulipata scholarship za kuja Germany ila jamaa akasema yeye anakomaa udsm.matokeo yake leo nimekutana naye analalama anadai bora hata asingesoma kwani amemaliza na g.p.a mbovu sana hata masters hawezi kusoma sababu ya chuki binafsi za ma professor wa pale.ananionea wivu mimi nipo nasoma zangu masterz now sweden
kwa unataka tufanye nini?
Mkuu tindikalikali inawezekana ni the same person maana mada zao na thread zao na comments zinafahamiana sana na ni moja zote kukandia UDni majukwaa tofauti tu, ila kwa muda mchache nilimfahamu Natalia hana tofauti na huyu.
Mkuu tindikalikali inawezekana ni the same person maana mada zao na thread zao na comments zinafahamiana sana na ni moja zote kukandia UD