jamaan diploma holders

kuna rafiki angu amechaguliwa ardhi lakini majina yao hayakuachiwa kama ya wengine ilidibi aanze kuzunguka nacte na chuoni kumbe majina ya diploma holders yalileta mvutana when comes to college allocation bse yalichelewa kuwa submitted as mjuavo tunachelewa kumaliza possibly hata majina yetu hayakuwa processed kwenye loan board
 
Dogo, mapema mno kukata tamaa. Isitoshe katika pitapita zangu, nimeshuhudia wenzio kadhaa wamenasa "bingo". Subirisubiri huenda neema ikaja!

kiukweli mi cjajua wala sitaki kuelewa hao wachache wamequalify vipi kupata huo mkopo anyways bahati ya mtu hailaliwi mlango wazi
 
Dogo, mapema mno kukata tamaa. Isitoshe katika pitapita zangu, nimeshuhudia wenzio kadhaa wamenasa "bingo". Subirisubiri huenda neema ikaja!

mdau wamenasa bingo gani aisee, 2weke waz maana wahanga wa mkopo 2po wengi mdau, samahani sana tuambie mdau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…