Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

Huyo kuku aweza kuwa na mafua ya ndege mwache mkuu,bora ufuge ngamia kwani kuhalalishwa mwenyewe akubali kwa maombi bila shari,ukimla kinguvu lazima akudhuru
sasa mkuu we fikili kaisha kula debe la mahindi,debe la karanga na sasa la mtama limefikia nusu.
Washauri mbengu zangu zipoteee hivi hivi sibora ningesipanda kwingine.?
 
Kuku huyu mayai bado ajataga iweje wenzangu wale mayai?
Cha ajabu kuku huyu mwanzo aliruka banda lao na kutua kwenye banda langu mwenye
kama aliruka banda lao na kutua kwenye banda lako, sasa kipi kikushangazacho? ATARUKA PIA KWAKO NA KUTUA KWA WENZAKO VILE VILE! pole lakini!
 
I like a kuku kuku,I like kuku kukuuuu
 
Huyu kuku ataliwa na mwewe bure!!! Utaambulia manyoa tuu
 

Huyo kuku ni wanyama au wamayai?
 
au hilo Kuku ni Shemale? umelichunguza vizuri kaka?
 
mtoa mada naomba nisichangie....! naomba kutoa pongezi binafsi kwako na kwa JF.!
Lugha nzuri ambayo watoto wetu wa darasa la sita labda wawe wamekaa na "mwalimu wa twisheni" ndio angalau wafunguke macho/japo kuna mitoto imeshatuzidi umri.
lugha hizi huweza kufanya JF ikawa mtandao salama pindi umkutapo mwanao anatembelea na kuwashauri wanafunzi watembelee majukwaa mbalimbali. kwa ajilinya kupata elimu maridhawa.....HONGERA
 
Labda kuku kaona hakuna jiko la mkaa la kumchomea. Anaogopa baridi ya kwenye freezer? Washa mkaa umeremete sawia, uone kama kuku hajaulizia kisu akakuletea uchinje mwenyewe,lol
 
Jamaaa kuku huyo nimfanyaje.nimpige manati aliwe kibudu au?

kuku wako, manati ya nini? ukiona unahitaji manati basi ujue huyo si wako.pole kwa kuwafugia walaji wengine.yaani....kufuga ufuge wewe, kula wale wengine! inauma.
 
kuku wako, manati ya nini? ukiona unahitaji manati basi ujue huyo si wako.pole kwa kuwafugia walaji wengine.yaani....kufuga ufuge wewe, kula wale wengine! inauma.


Hakuna siku nimeburudika kama leo hasa niliposoma huu uzi! Big up Mzee
 
Mtupie mtama karibu na mtego akisogea tu anaswe na kuliwa, hakikisha zana zote zipo tayari la sivyo atachoropoka
 
kuku huyo wa kisasa atataga mayai mwenyewe wala haitaji jogoo!
 
Tabu ya nini? Nenda kawinde Kicheche weka bandani
 
Usikute huyo kuku anakuwaga bize na jogoo lingine ila weye ni wakumpatia mtama na hiyo mikaranga....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…