Jamani kuku kamaliza debe la mahindi,Niliaaza taratibu kumlushia mbegu za mahindi nilishutuka debe limekwisha ,hivyo hivyo kamaliza debe la karanga.Kuku huyu sasa kanenepa sana kapendeza sana na anavutikia kila kona anakopita.Kuku huyu kila inapofika siku ya kuliwa au kuchinjwa,utasikia kuku anaumwa tumbo,kuku ameshikwa na ungonjwa wa mafua.mala kuku anaendesha kila saaa.Kuku huyu utasikia akisema nipo mwezini, sikukuu hikifika hili aliwe kuku amekuwa anaruka kwa sababu ya mabawa yake.
Sasa waungwana na debe la mtama limefika nusu bado kuku ataki kuliwa,Tatito kubwa la kuku huyu kila asubuhi anapoamuka utasikia analalamika kuomba nimrushie mtama au nimpunguzie mtama.
Kuku huyu siku zinafika kuliwa kitoeo na kila zana zakumchinja zimeandaliwa,maji ya moto ya kumnyonyolea pia na grovis lakini kuku huyu anapotea mtaaa ataonekana jioni kuja kulala bandani kwake.?
Sasa kuku huyu ataliwa kubudu siku ikifika/