Jamal Malinzi na tuhuma za udini

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,319


Kupitia Twitter rais wa TFF, Jamal Malinzi amedai kuwa alikwenda Zurich kusimamia maslahi ya mpira ya taifa letu, si kuchagua imamu wala baba paroko.


Haya yalikuwa mawazo yake kuhusu Uchaguzi Mkuu wa FIFA 2015, pengine akipiga kijembe kwa mgombea aliyeshindwa, MwanaMfalme Ali wa Jordan!
 
Last edited by a moderator:
Nikisoma Tweet Yake Naona Hakuna Kibaya Wala Chembe Ya Hicho Ukisemacho Badala Yake Naona Kwamba Wewe Ndiyo POPOMA ULIYETUKUKA.
 
sioni tatizo hapo labda kama kungekuwa kuna imamu na paroko wanaogombea
 
Kwani huyo Malinzi ni mrengo Cross au Mrengo Mwezi wa Kijani?
 
Kwani huyo Malinzi ni mrengo Cross au Mrengo Mwezi wa Kijani?

Sifahamu, ila mgombea mmoja, MwanaMfalme Ali wa Yordani ana mamlaka fulani ya kidini pia, ndio maana hoja ya uparoko na uimamu ukaja hapo!
 
Una kichwa kigumu sana mtoa mada. Kama umeshindwa kumuelewa basi utokuja kuelewa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Nikisoma Tweet Yake Naona Hakuna Kibaya Wala Chembe Ya Hicho Ukisemacho Badala Yake Naona Kwamba Wewe Ndiyo POPOMA ULIYETUKUKA.

iyo ni tafsiri yako ama?

Huyu ana negativity na Malinzi! Anatanguliza dini kusudi aungwa mkono na wenzake washari!
Vipi wa kwetu

sioni tatizo hapo labda kama kungekuwa kuna imamu na paroko wanaogombea

kwa nini aandike huo ujumbe? uimamu na uparoko ulikua na uhusiano gani na huo uchaguzi?
 
Msimtishe mleta mada, kwa hii Twitt Malinzi kachemka vibaya, lugha ya vijembe haifai nafasi kama yake...Haya turudi kwenye ujumbe anaotaka kutuaminisha, si bora angesema ukweli kulinda maslahi ya viongozi kama yeye tu, hayo maslahi ya soka ya nchi yake yako wapi?
 
Ahahah malinzi noma inawezekana kuna watu walimtumia msg kuwa amchague.muislam.. Si unajua baadhi ya wabongo wanawaza.udin tu badala ya maslah ya kitaifa
 
Hii kauli haikufaa kutolewa na mtu kama yeye.

Inamaana yule jamaa wa Jordan anafaa huko kwenye dini sio mpira?
 
Viwanja vyetu vya soka havina hata electronic subsititute board, wachezaji wanabadilishwa uwanjani kwa kuitwa majina kama mpira wa makaratasi. Kiongozi kakalia vijembe kama Hadija Kopa, maslahi ya nchi yako wapi? Sema maslahi yako binafsi tukuelewe. Timu ya Taifa inafungwa ovyo ovyo, yeye anajichekesha twitter, bure kabisa .
 

Kile cha 2 sided score board ni km €450 tu, kile cha 1 side ni km 370 €
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…