Jamal malinzi TAFADHARI acha dharau kwa Simba SC.....

Jamal malinzi TAFADHARI acha dharau kwa Simba SC.....

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,378
Reaction score
29,739
Yaani leo unataka kombe liwepo Kirumba na Taifa? Namaanisha ile ndoo yenyewe? Yaani Taifa unaweka replica eti simba nayo ina chansi ya kuchukua? Hii sasa ni dharau unataka kutuletea Simba. Peleka vikombe vyako vyote Kirumba hata kama kimahesabu Simba ana nafasi ya kubeba kombe ila kiuhalisia nafasi hamna.
Peleka tujivikombe twako Kirumba huko.
 
Huyu mhaya ana dharau sana muda ufike aondoke tuu
 
Acheni kulia wenzenu wananunua mchezaji $ 100,000 na mishahara mpaka 9m kwa mwezi...acheni ubahiri ...mmemtumia mpaka Bashite wapi..kuna tetesi Fakhi anatua Jangwani
 
Acheni kulia wenzenu wananunua mchezaji $ 100,000 na mishahara mpaka 9m kwa mwezi...acheni ubahiri ...mmemtumia mpaka Bashite wapi..kuna tetesi Fakhi anatua Jangwani
Sas akitua tatzo nn? Mikataba mnasainisha kwa sifa mkitingwa mnaanza kuchangsha michango
 
Back
Top Bottom