waadhibiwe MKUUMpendwa jm tumsifu yesu le kristo,,find attached pics nasoma mwananchi leo najiuliza hozi timuzapolisi zinaachalini kupiga waamuzi,,pili sheria zinasemaje niliona yanga waliadhibiwa vilivyo lakini hawa jamaa kila mkoa wanatembeza kipigo nabado zinqendelea kuchezq nani anawalinda hawa mkuu wangu jm,sikunjema
q
Pdidy ni kweli hizi tabia zimekithiri.Kanuni zetu ziko wapi kuhusu hatua za kuchukua tokana na matukio kana haya.Kamati ya nidhamu itakaa over the weekend na adhabu stahiki kwa mujibu wa kanuni zitatolewa kwa wahusika.Ni kosa kubwa sana kumpiga mwamuzi.
Jibukwahoja MKUU this is JfWhere are you taking our football?Unatuharibia mpira wetu.Jenga hayo maduka mpate kuiba kama ndo kuendeleza soka!!U will only be TFF for one season kwa kutuharbia mpira wetu!!Timu yako ya marejesho iko wapi??Wahaya waliojazana TFF wanakusaidiaje?
Pdidy ni kweli hizi tabia zimekithiri.Kanuni zetu ziko wapi kuhusu hatua za kuchukua tokana na matukio kana haya.Kamati ya nidhamu itakaa over the weekend na adhabu stahiki kwa mujibu wa kanuni zitatolewa kwa wahusika.Ni kosa kubwa sana kumpiga mwamuzi.