Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kila kitu tupo nyuma, hata ubunifu ni zero.View attachment 901133
View attachment 901134
View attachment 901135
Bendera yetu ina rangi nzuri lkn tunavaa jezi kama BUNDI...sijui tumelogwa?
View attachment 901136
Wenzetu hawa wanashine na bendera yao, sisi kama bundi.
Bendera ya taifa ndo mpango.Zambarau kama Mbeya city or Udhurungi kama African Lyon ingependeza..najua watu watauliza mbona hatuna rangi hizo kwenye Bendera....Netherland orange haipo kwenye Bendera yao.Italy blue haipo kwenye Bendera yao..Ghana nyeupe haipo..hii blue inagundu tuvae rangi zilizotupeleka AFCON 1980