jaman hii tanzania loans society ni ya nan hasa

jaman hii tanzania loans society ni ya nan hasa

mr.swallo

New Member
Joined
Dec 18, 2012
Posts
2
Reaction score
1
linnah amekua akipost sana status zake kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Tanzania loans society kuwa yeye imemsaidia sana kimaendeleo hasa kwenye facebook amekua akipost sana status za kusaport iyo tanzania loans society jaman naomben msaada wenu huu mpango umekaaje.?
 
Inaonekana si kitu cha kweli.....eti loan officer ni Ridhiwani Kikwete!!!
 
kuna namba wameweka za voda na tigo ni vizuri kuzipiga kabla ya kutuma hela
 
linnah amekua akipost sana status zake kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Tanzania loans society kuwa yeye imemsaidia sana kimaendeleo hasa kwenye facebook amekua akipost sana status za kusaport iyo tanzania loans society jaman naomben msaada wenu huu mpango umekaaje.?
huo mtandao ni wa matapeli sana jribu uone
 
Wameshawaibia watu. Watu hawa ni wajumbe wa ibilisi wa siku hizi za mwisho.
Wezi wanaotumia majina ya watu ili kujinufaisha.
 
Back
Top Bottom