Jaman, jaman Miguel escobar wa Singida Fc ni fundi haswaa

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Singida fc imemsajili Miguel escobar ili kuimarisha sehem ya kiungo, nimemuangalia escobar kwenye clip, dah, jamaa ana ufundi wa hatari, anajua kumiliki mpira, anajua kuhangaisha bwege wenzake uwanjani, anajiamini, ana mwili wa boli, hakika huyu sio wa kubaki Singida fc, mitimu kama yanga na Simba cjui inaokota wap wachezaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…