jaman jaribun hapa kuna hela za bureeeeee

jaman jaribun hapa kuna hela za bureeeeee

Wiziiiiiiiiii,
Nyie nao mnatumwa tu na mnakurupuka kina Zero one.

Fanyeni kazi acheni uvivu hakuna pesa za bure.

Wiziiiiiiiiiiii
 
Wiziiiiiiiiii,
Nyie nao mnatumwa tu na mnakurupuka kina Zero one.

Fanyeni kazi acheni uvivu hakuna pesa za bure.

Wiziiiiiiiiiiii

mkuu
ulishawahi kuijaribu ukaibiwa?
ulishawahi kuona mtu kaibiwa?



inawezekana ni kweli ni wizi but bado hujani convince kujua tunaibiwa kivipi
 
[h=2]jaman jaribun hapa kuna hela za bureeeeee[/h]Kwa akili ya Nursery school unategema nini hapo,si kila mtanzania angekuwa tajiri.
Hivi mnafikira deal za maana zinawekwa wazi hivii has kwa wabongo sie.kwanza angeanza familia yake then ndio akaleta humu.
Na hata kama aangefanikiwa basi asingeweka hapa.
Nyie madalali mnakuja kwa style nyingi.

We umaona wapi watu hawana addresses,na wamesajiliwa wapi?
 
Maelekezo mkuu task za kufanya n zp? Ili kuanza kuneemeka.
 
Maelekezo mkuu task za kufanya n zp? Ili kuanza kuneemeka.
Hoozy na wengine wote mnaodhani kuna pesa au hela za bure umeliwa! Fanyeni kazi jamani na kuna task nyingi tu za kufanya ikiwa ni pamoja na kilimo in its totality! Sasa kwenye hili, hebu yeyote afuatilie hiyo link at the end of the day utaambiwa ulipie ndipo uelezwe hizo kazi zilipo na namna ya kuzipata, kama zipo kweli. Binafsi sijawahi kusikia aliye jiunga na hili na kupata hizo hela za bureee au wewe Hoozy ulisha zikwaa; tueleze bana, funguka mkuu!
 
Back
Top Bottom