Jaman Lulu ana mambo!

Mtasema yote kwa kuwa tu mtoto wa watu ni mzuri halafu ni maarufu. Mademu wangapi wa mitaani nao ni majamvi ya wageni lakini hamwajui kwa kuwa wao si maarufu? Na kila siku mnawasalandia bila kujua!

She is above 18 kwa hiyo si mtoto tena!

Hapo umejiuliza na kujijibu mwenyewe.
 
Kana pepo , tena baya sana..kasipobadilika mwisho wake upo karibu mno kuliko kalipotoka
 

yaani aende huko ulaya kupeleka uchi tu? duhh
 
wac wac wangu cjui kama atapata visa, maana visa c ni had uwaclishe vpimo vya isshu flan hv?!....
 
wac wac wangu cjui kama atapata visa, maana visa c ni had uwaclishe vpimo vya isshu flan hv?!....

Kale ni katalaam kanaweza kwenda kijasiliamali zaidi,kanapiga min na kitop halafu chupi kanaisahau kabatini.
 
Jamani mnahangaika na tabia yake kwani mnataka kuoa bana?

Katoto kazuri kama kale hakatakiwi kupoteza muda kuchangishachangisha nauli, haka kanafaa sana kujipumzishia huku ukikaondolea shida zake zote ikiwepo nauli ya kwenda na kurudi as long as kanawajibika vizuri na kana tunza siri, mwenye namba yake please.
 
Acheni unafiki na kujifanya wasafi sana wa tabia. Mnamsakama mtoto wa watu as if you guys are saints and angels. Na humu 90% ya wanaume Lulu akicheza kwenye anga zao wanamtafuna, hawawezi kumwacha kwa kisingizio chochote kile! Acheni unafiki.

Ha ha ha, naona umeamua kuwachana 'live'
 
Ebu wekeni picha yake katoto kazuri sana lazima kasaidiwe.
 
Acheni unafiki na kujifanya wasafi sana wa tabia. Mnamsakama mtoto wa watu as if you guys are saints and angels. Na humu 90% ya wanaume Lulu akicheza kwenye anga zao wanamtafuna, hawawezi kumwacha kwa kisingizio chochote kile! Acheni unafiki.

Haswaa, naona hapa watu wana-apply tu ile theory ya SIZITAKI MBICHI HIZI, hivi unakataaje huduma ya katoto kama haka..https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/121078-msanii-lulu-nikivaa-nguo-ndefu-nawashwa.html.

Hapa watu wanakaponda tu haka katoto huku huko street wanasarandia vicheche tena vyenye shape za polygon, unafiki mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…