Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Dah na mm nalitaka hilo jukwaa LA wakubwa cjui nan atanipa msaadaDuuh bora wewe ulivouliza Mimi nina miezi 3 cjui ata kuposti nimeambiwa nimtafute mood cjui ndie nani aniunge jukwaa la wakubwa[emoji38] [emoji38] [emoji38]
wasomewa alubadirikaChama kina shida gani???
ingia kwenye a/c kupitia jamii forum app or moja kwa moja ila sio free basic mkuu utaiona icon ya pm ilikoDah na mm nalitaka hilo jukwaa LA wakubwa cjui nan atanipa msaada
CCM kumejaa vilaza kama wewe ambaye hupajui PMAhaaaa nimekudere mkuu kumbe ndio kunaitwa. PM duuuuh mna mambo