Msaada kwa anaeijua hii kampuni fresh b4 sijawatumia m-pesa yangu au ndo walewale wazee wa mjini jaman?
i hop mnakumuka zile nafas za graduates zilizotangazwa na hawa hd.co.lth
plz msaada coz wamenambia nitume elfu 10 na mpesa kwa namba ya hr director