Kuna baadhi ya vyakula ukila basi hupizi haraka jaribu supu ya njiwa πoa
Kuna baadhi ya vyakula ukila basi hupizi haraka jaribu supu ya njiwa πoa
jaman naomben mnishauri bila kunijibu vbaya naomba tena sana. mimi ninatatizo ya kukojoa pindi tu ninapoingiza uume wangu kwenye uke wa mwanamke pale nnapofanya tendo la ndoa. nmejitahid kufanya taratibutaratibu tendo hilo ila tatizo lko palepale. hadi mpenz wangu ameniambia endapo litaendelea itabid aniache kwa sababu simridhishi nami nampenda sana mpenzi wangu nisaidien
Utani pembeni njiwa ni hatari kuliko supu za kwato ya ng'ombe na sea food soup...Wanasema usiende muliza doctor mulize aliye jaribu πoaKuwa serious mkuu
supu ya njiwa?
Utani pembeni njiwa ni hatari kuliko kwato za ng'ombe...Wanasema usiende muliza doctor mulize aliye jaribu πoa
Yani sweet lady we unamdharau njiwa lakini huyo anarusha salamu mpaa anaye pelekewa salamu anasema leo zimefika πoa:A S-fire1:Nimeshindwa kujizuia kucheka lol
JF raha kweli!