Jaman natafuta field mwenzenu...

 
 
dogo jiajiri mwenyewe mbona mnapenda sana mteremko

kwa muonekano wa sentensi zako wewe ni mwajiriwa tena umeanza kazi juzijuzi ndio waga mpo hivyo..

:focus:
jaribu mabenki halafu omba matawi ya mkoani sio hapa watakunyima..
 
sijasema lazima wanilipe mkubwa, nje ya dar cwez kutokana na izo sababu, ni heri nifanye dar coz ma family iko apa, tofaut na nikiwa mbalh, hv sielewek labda

Baki Dar hutaki field wewe
 
kwan lazima aende iringa,,,?baki dar
 
Field zipo, ila sehemu nyingi wanahitaji mtu afanye internship kwa miezi 3, barua yako ya internship/field attachment toka chuoni kwako itume katika email hii thanda.rsa@gmail.com kama bado una muda...Asante na karibu
 
Yani wewe hata uwezo wako wakufikiri ni mdogo sana!Huyu dogo ameomba field wewe unaleta mambo ya wakati wenu mnasoma so what?umemsaidiaje huyu anayejitafutia field mbona unakua kubwa jinga? Dogo nitumie email yako ili nikuunganishe kwa jamaa yangu au ofisini kwangu uniambie ufanye field
 
Bushbaby......nina mfano ulio hai wa mtu wa namna hii ya NeyJerry. Mimi simjui na yeye hanijui, yeye alikuwa na shida mbili..Ya kwanza alikuwa na uhitaji wa mume, na alieleza waziwazi, na kuna baadi ya watu walimponda sana lakini yeye hakujali na wala hakuwajibu vibaya

Shida yake ya pili ilijitokeza ilijitokeza baada ya kuwa muwazi kuwa anahitaji kubadilisha kazi aliyokuwa anafanya, by the time tunawasiliana naye kwa mara ya kwanza tena kwa email, mimi nilikuwa Tlokweng (Botswana) nikijiandaa kufika Arusha. Kumbe naye alikuwa Dar Es Salaam.

Akanitumia CV/RESUME yake nikaipost mahali na kuwapigia simu kumuombea kazi.....Leo yuko anafanya kazi huko niliko muombea.

Sababu ya Mfano huu wa kweli ni kwamba katika Forum, kila mtu ana mtazamo tofauti, mahitaji tofauti na upeo tofauti...hivyo naona kama NeyJerry yuko sahihi kujieleza.....anastahili kusaidiwa kama kuna uwezekano huo. Kama kuna uhitaji wa ushauri au ushahidi wa aliyesaidiwa na akasaidika mniambie tu nitawapigia simu kuwaomba niwataje humu, majina yao halisi na namba zao za simu, hata email zao ikibidi ingawa hatujawahi kuonanana kwa sura.
 
HERALD..naoMBA UNISAIDIE KAMA NITAPATA SEHEM YA KUFANYA VOLUNTEERING HAPA BONGO..ts seems u have good heart!!
 

thanx 4 ur understanding mkuu, my email address ni dominickneema@yahoo.co.uk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…