Yeye ni Dr....Ww demu au kama demu njooo takula birian kabisa mm ntalipia kila kitu
Hakuna dokta mwanamke?Yeye ni Dr....
huku jf umefikaje mkuu uza cm hiyo au PC yako ukapike pilau bro"...binafsi ninaomba radhi sana! Kwani sina pakushika wala pa kuanzia kimaisha... Natoka familia duni yenye UMASIKINI usio elezeka.. Hata hela ya kupika pilau mimi sina jamani leo sikukuu
...nime kosa mimi! Nimekosa Mimi nimekosea sana.." nawaombeni pilau jamani nimekosea mimi
NAWATAKIENI PASAKA NJEMA-NI MIMI DR. RUTENGWE
Umekosa kutamani pilau bila ya kulifanyia mkakati madhubuti wa kulipata."...binafsi ninaomba radhi sana! Kwani sina pakushika wala pa kuanzia kimaisha... Natoka familia duni yenye UMASIKINI usio elezeka.. Hata hela ya kupika pilau mimi sina jamani leo sikukuu
...nime kosa mimi! Nimekosa Mimi nimekosea sana.." nawaombeni pilau jamani nimekosea mimi
NAWATAKIENI PASAKA NJEMA-NI MIMI DR. RUTENGWE