Jaman naomben msaada wa ushauri,tiba, dawa, au chakula na nk
maana vipimo vya mara mwsho tar 12/04/013
ilionesha
WBC 2.5 _abnomal
kawaida inatakiwa kuanzia 4.0 hadi 11.0 _nomal
msaada unahitajika!
Nawasilisha pia!!!
mkuu nashukuru kwa ushauri wako
labda niseme kitu kwa matokeo hayo ya Fbp ya mwanzo kabisa hapo juu Dr wangu (na ma Dr wengine watakubaliana na mimi)alisema kuwa viwango vya b.cells
kuwa chini kukosi kuwa na mafua ya mara kwa mara
maumivu ya kichwa
wakat mwingne kizunguzung n.k
magonja yanakuwa hayakuachi coz kinga ya mwili inakuwa chin!!
lkn kwangu ni tofaut nina mda mrefu nilichange aina ya vyakula na vinywaji kifup malaria siyajui
kwa miaka kadhaa, nimeumwa sana mafua ni leo kesho mzima
hii inatokana na miaka kadha iliypta
niliwahi tumia juice ya machungwa 150 kwa siku 10 au
malimao 120 kwa siku 10 kama kinga na tiba mwilini hii inatakiwa utumie mara 1 au 2 kwa mwaka ( na hapa mimi na wewe tukikaa eneo lenye mbu iwe usiku au jion wanakung'ata wew tu! Lkn kwa hili sijui ni hiyo juice damu ya mtu no uhakika)
so far
matatzo nilikuwa nayo ni maumivu kama ya mchoko kwenye kifua hadi mgongon kwa ndan na fizi kutoa damu mara kwa mara ambapo sasa hivi ni tofauti (maumivu kama jana ndo umeanza mazoez kwa mda mrefu hukufanya)
kwa kiac fulani sjui kama nimeeleweka?
O.k Mkuu, inaweza kukutia shaka, lakini ni jambo la kawaida, zingatia kula mlo kamili (Balanced diet) zitapanda. Kama upungufu huo haujatokana na ugonjwa sio lazima kutumia dawa ili kuziongezea.
mkuu unaweza kunisaidia kuipnda blnce diet kwa siku 7 yaani wk 1
mf j3 asbh mchana na jion
j4 asbh mchana na jion
nk???
Mkuu gody
Pamoja na majibu michango mizuri ya wanajamvi, kwa tatizo lako, napendekeza utumie VIRUTUBISHO VIFUATAVYO: SPLINA LIQUID CHLOROPHYLL NA RED YEAST COFFEE.
1. Splina Liquid Chlorophyll
Imetengenezwa kutokana na mmea wa
Mulberry unaotambulika kama chanzo bora cha Chlorophyll.
Mlo kamili (Balanced Diet) wa kila siku unatakiwa uwe na Asidi 20% and Alkali 80% ili kuuweka mwili katika afya. - Kutokana na Prof. Ragnar Berg, Mwanalishe wa Marekani.
Kijiko Kimoja cha Chakula cha Splina Liquid Chlorophyll ni sawa na Kilogram Moja ya Mbogamboga (Mboga za Majani)
Ni vyakula vipi vyenye Asidi/Alkali
Vyakula asid:
Nyama, Vyakula vya baharini, nafaka, sukari, mafuta, na Vyakula vya makopo.
Vyakula vya Alkali:
Mboga za majani (Mbogamboga), Matunda, na Vyakula vya Mizizi (Karoti, Mihogo, Viazi, n.k)
Splina Liquid Chlorophyll is RICH with the following nutrients:
Zinc - helps in cell division and cell growth for faster wound healing.
Selenium - Provides protection from the toxic effects of heavy metals and other substances
Vitamin E - Nourishes the skin and keeps the brain active.
Vitamin C - Promotes healthy teeth and gums. Increases alertness and possesses anti-cancer properties.
Vitamin A - Helps in the formation and maintenance of healthy teeth, skeletal and soft tissue, mucous
membrane and skin. Promotes good vision. Strengthens the heart function.
Protein - Helps in growth and development especially for children and adolescents. Maintains the cell,
muscles, tendons and ligaments.
Biotin essential for the metabolism of proteins and carbohydrates.
Folic Acid Acts as a co-enzyme with vitamin B12 and Vitamin C in the breakdown and synthesis of
hormones and cholesterol.
Pantothenic Essential in the synthesis of Acid hormones and cholesterol
Calcium important for growth and reproduction of human body, maintains also healthy teeth and
bones.
Chromium Stimulates fatty acid and cholesterol synthesis and an activator of of several enzymes.
Phosphorous Assists in the contraction of muscles in functioning of kidneys, maintaining of regularity
of heartbeat
Potassium It is necessary for muscle building and normal body growth.
Magnesium Helps in Muscle relaxation and contraction
Iron Essential to the formation of haemoglobin which carries the oxygen in the blood and muscles.
Faida za kutumia Splina Liquid Chlorophyll
1. Inasaidia kuhuisha seli na kuongeza kinga.
2. Inaondoa harufu mbaya mwilini na sores.
3. Inaondoa tatizo la mmengenyo wa chakula.
4. Inasafisha Ini kwa kuondoa sumu kwenye Ini
5. Inaondoa kwa haraka sumu zilizo ingia mwilini
kupitia dawa za kuua wadudu.
6. Inaweka uwiano sahihi wa tindikali na alkali mwilini.
7. Inaongeza chembe hai nyekundu za damu
8. Inaaondoa mikunyanzi ya uzee na kupunguza kasi ya kuzeeka.
9. Inapunguza uzito kwa haraka.
Nani anatakiwa kutumia Splina Liquid Chlorophyll
- Watu wenye matatizo ya moyo
- Watu wanao toka jasho sana
- Watu wenye matatizo ya Ini
- Watu wenye matatizo ya upumuaji (Pumu,TB n.k)
- Watu wenye matatizo ya mifupa na viungo
- Watu wenye upungufu wa damu
- Watu wenye ngozi iliyo pauka
- Watu wenye matatizo ya uzito (uzito uliozidi au uzito pungufu)
- Watumiaji wa pombe na sigara
- Watu wasiopenda kula mboga za majani
- Wanaosumbuliwa na tatizo la kukosa choo
- Wanopata maumivu wakati wa hedhi
- Wenye kisukari,vidonda vya tumbo na vidonda sugu.
- Watu wanao ugua mafua mara kwa mara
- Watu wenye matatizo ya koo (kukereketa n.k)
- Watu wanaotoa harufu mbaya mwilini na mdomoni
- Watu walio bize sana na wenye msongo wa mawazo
- Watu wanaopenda kula vyakula vya harakaharaka (chips, burger, pizza n.k)
Kahawa ya Ginseng Red Yeast
Ni Njia Salama ya Kurejesha hali ya ujana na kuondoa Mafuta mabaya kwenye damulehemu(Bad Cholesterol)
Faida za utumiaji wa kahawa ya Red Yeast
- Inashusha kiwango cha mafuta mabaya (bad cholesterol) na triglycerides.
- Inaongeza kiwango cha mafuta mazuri (good cholesterol.)
- Inasaidia afya ya mfumo mzima wa damu (cardiovascular system).
- Inaupa lishe na virutubisho mzunguko wa damu (circulatory system).
- Inaboresha mmengenyo wa chakula.
Naamini maelezo haya yatakuwa msaada kwako na jamii yako inayokuzunguka pamoja na Wanajamvi kwa ujumla.
Kwa taarifa zaidi, piga: 0713 366 473 or 0767 277 223.
KARIBUNI. FEEL LOVE NOW!