Jaman nisaidien tcu wameninyima tena chuo

mizdo

Member
Joined
Jun 17, 2013
Posts
21
Reaction score
3
Jina langu lipo tena nimekosa chuo wakati nimefaulu vizuri tu inabidi niapply 3rd round nimechanganyikiwa na kila nikichek web yao naambia couldnt locate server siku zinaenda tu naombe msaada wenu jinsi ya kuapply tena.
 
mkuu log in sahiz inakubali.au ni pm namba yako ya simu tuwasiliane
 
Jina langu lipo tena nimekosa chuo yl nimefaulu vzur tu inabid niapply 3rd round nimechanganyikiwa na kila nikichek web yao naambia couldnt locate server siku zinaenda tu naombe msaada wenu jinsi ya kuapply tena

ingia kwny a/c yako ya tcu then fanya tena application! Ila pole sana
 
Jina langu lipo tena nimekosa chuo yl nimefaulu vzur tu inabid niapply 3rd round nimechanganyikiwa na kila nikichek web yao naambia couldnt locate server siku zinaenda tu naombe msaada wenu jinsi ya kuapply tena
Wana haki ya kukuacha. "yl" ndio nini..!?
 
Jina langu lipo tena nimekosa chuo yl nimefaulu vzur tu inabid niapply 3rd round nimechanganyikiwa na kila nikichek web yao naambia couldnt locate server siku zinaenda tu naombe msaada wenu jinsi ya kuapply tena

dogo ulikuwa na dvsn ipi? and ulikuwa unachukua mchepuo gani.... kama vp nitumie username yako na password nikurekebishie... if possible nitumie na hizo code za kozi unazotaka kusomea
 
Najaribu ku login naambiwa login failed
 
kama vp wapigie cm uwaeleze matatizo yk watakusaidia 2 kaka,pole lakn
 
jitaadi kulog in ktk a/c yako ya tcu then apply tena ikishikana bac waweza kwenda moja kwa moja ktk chuo ukipendacho then apply alafu mwaka mmoja utajilipia then mwaka wa pili uta apply tcu ila pole xana uckate tamaa mambo haya ni ya kawaida:smile-big:
 
Jina langu lipo tena nimekosa chuo wakati nimefaulu vizuri tu inabidi niapply 3rd round nimechanganyikiwa na kila nikichek web yao naambia couldnt locate server siku zinaenda tu naombe msaada wenu jinsi ya kuapply tena.

Ukiona hvyo ujue utakiw ulitie huko kwa sasa cha kufanya ww nenda MJASIRIAMALI KWANZA ENTERPRISES utafundshwa jnai ya kutengeneza aabjn za maji, batiki nk ........ KAMBI POPOTE....!!!!!
 
ze duduz huyo dogo umemsaidia?mi nimelog in kwenye acount yake,hajanipa code au anataka nimjazie kozi gani,kozi zipo nyingi tu kwa ufaulu wake.namba yake ya simu hapatkan
 
naomba wana jf mnisaidie nijue kam jina hili lmechgliw huko mwenge university Emmanuel J Jonas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…