Jaman walimu

Makunga

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
771
Reaction score
551
Wanashangaza sana,waliahidi kuwa na mgomo mara baada ya shule kufunguliwa lkn had sasa kimya,walimu achen kubip ndo mana serikal haishtuki manake ishawazoea,mkiamua kufanya kitu fanyeni kweli na kwa umoja.
 
washarogwa hawa,wataendelea kuwa maskini na madaraja ya watu tu!na hao cwt ndo kimyaaa,dawa ni kuipiga chini hiyo cwt yao haina msaada
 
Wagome wapi ?
Hawachelewi kusalitiana hawa!
 
Siku zote mpapai hauwezi kuhimili mikikimikiki ya kimbunga, uongozi wa CWT umechakachuliwa waliopo wote ni mamluki, hawapo kwa ajili ya maslahi ya walimu bali kwa kuwadidimiza hawa walimu, ili walimu wafanikishe migomo yao wagome kikanda au kishule hapo kutakuwa na mgomo wa kweli zaidi ya hapo hakuna........"HAIBA BILA PESA NI MZIGO" Lakini walimu wamekuwa Punda wa selikari kila baya tupia kwao, nyumba mbovu, vitendea kazi hakuna, mishahara duni, makato mengi, mazingira mabovu ya kazi.........aaah inasikitishaaaa
 
Mbona aliishaahirisha mgomo kitambo tuu huyu bwana Mkoba kwani huyu ni mwanachama wa ccm kwa hyo anaogopa kukidhalilisha chama chake,la msingi hapa ni kupiga chini huu uongozi wa cwt taifa tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…