jaman wanajukwa la jf naomben ushauri wenu

BLUEMAN

Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
15
Reaction score
1
Nina mtoto wa kike ana miaka karibia mitatu sasa,tatizo lake kubwa ni mifupa yake haina nguvu kabisa!miguu kama inapinda kwa ndan!vidole vya mikono ukivinyoosha analia sana,magoti kama yamevimba !cha ajabu wiki iliyopita hadi shingo kuna wakati inakaza anashindwa kuwa flexible kabisa ! hata kutembea kwa dakika tano tu amechoka sana viungo vinakuwa vimelegea kabisa !naomben ushauri jaman
 
Mpeleke hospital mtoto anaweza kuwa hana essential vitamins au madini kama calcium.. dagaa ni chakula kizuri kwa mifupa.
 
Kazania mtoto apate lishe bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…