Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anha,,, tusubiri wenye experience waje watupe mrejeshoNi tube ya kuondoa chunusi
Mimi binafsi nilikuwa ninachunusi, ila zinakuja na kuondoka yaani sio serious kivile, mwaka huu mwezi wa kwanza mwishoni zikaanza chunusi very serious, uso mzima mpk shingoni na kifuani halafu kubwa kubwa, nikaenda kwa madaktari wa kawaida nikapewa salicylic acid with betamethasone, nikapaka lakini ile dawa haikuondoa chunusi, ilinichubua nikawa mweupe mpk nikaogopa 😂, nikaamua tu niende kwa specialist pale rabininsia, nikapewa hio dawa TRETINOIN, DOXYCYCLINE, BENZOYL PEROXIDE na HYDROCORTISONE, nikaambiwa nitumie kwa mwezi mzima then nirudi, cha ajabu nimetumia hizo dawa kwa wiki 1, chunusi zikapotea kabisa, yakabaki makovu meusi lakini uvimbe hamna, hapa navyoandika ni wiki ya pili na nusu, makovu yameisha yote, yaani nipo smooth kama sijawahi kupata chunusi 😂😂😂,Naomba mrejesho kwa alotumia tretinoin na positive and negative effects zake