Mdau nakushukuru kwa upande mmoja umewasaidia wenye deficity (mapungufu) ya nguvu. Aidha umetusahau akina sie wengine tunahangaika kutafuta dawa how to dicreese the power! Nishahangaika sana walau niwe napiga bao mbili au 3 per day sijafanikiwa na mjeledi ukini'stand hua uko active si chini ya 45 min.
..MKUYATI Je??Nihangaike na asali bei aghali wakati kuna kitu ubombo toka tanga, nikishushia na pweza wangu
Hasira zake hadi naigandisha kwenye friji ipoe
Mdau nakushukuru kwa upande mmoja umewasaidia wenye deficity (mapungufu) ya nguvu. Aidha umetusahau akina sie wengine tunahangaika kutafuta dawa how to dicreese the power! Nishahangaika sana walau niwe napiga bao mbili au 3 per day sijafanikiwa na mjeledi ukini'stand hua uko active si chini ya 45 min.
ndio maana yake. Suala ni kwamba kama haijali achana na sukari ya kiwandani so ukinywa chai unaweka asali mwanzoni inakuwa ngumu maana radha inakera lakini utazoea na hutatamni kurudia hayo mamtibwa. Asali ni hiyo hiyo unayoijua mkuu.INa maana kwenye chai huweki sukari kabisa? Na hiyo ni asali ya kawaidi au ni ipi? Maana sokoni ziko nyingi, madukani pia ziko nyingi sana, sijui ipi ni ipi
...nimekupata ambassodor unaweza kupata order ya makonteina na huko uliko ukaamua kuachana nako si unajua ukivuta uzi kwa kijana kwenye kile kiwanda chako mambo safi...dogo imemrusha hiyo ambassodor.Acaha na mimi nichomeke hapa hapa, kwa wale wanaohitaji asali original yenye viwango vyote vya ubora wawasiliane na mimi...
...asali ni chakula na dawa inatibu mambo mengi hakuna hata chembe ya side effect (s)...kuliko kumshauri akanunue na kumeza viagra au mpaka akavamie ma-valuer pata asali tu.Nilidhani hizi habari za dawa za nguvu za kiume ni mambo ya waganga wa kienyeji tu. Ila sasa naona hata JF yameshika kasi. Je hii ni dalili kuwa tatizo hili ni kubwa sana?
Piga kitu ubombo, ila kama afya yako mgogoro usijaribu
Unaweza zimia
Wee, utajua kama ni dk 90 au 120 au 120 na penati juu
An opportunist will take a bath when he accidentally falls in a river.