Habari ndugu zangu.
Nimevutiwa na biashara ya duka ya kuuza vitu vya watoto tu "baby shop", tatizo langu sijajua faida na hasara yake katika biashara hii, zaidi ni mchanganuo mzima wa jinsi ya kuendesha biashara hii.
Naomba wapendwa mnisaidie kwa uzoefu wenu, wale ambao wanaifanya, waliofanya na walioona biashara hii.
Asanteni wapendwa, nawasilisha.