Jamani bodi siwaelewielewi,nifanyeje wadau?

SESEKO

Member
Joined
Aug 4, 2013
Posts
88
Reaction score
4
mimi nimechaguliwa katika chuo cha usafirishaji/nit ambako katika maombi ya kila kozi waliweka priority mkopo lakini sijui kigezo gani wamekitumia kuninyima mkopo.msaaaada kwa hili wadau wangu.
 
hamna kuandika barua appeal inafanyika online,watatangaza tu ktk web yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…