Jamani Chiku Abwao yu wapi?

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2008
Posts
4,768
Reaction score
2,361
Naomba mwenye taarifa, yule mama wa upinzani Chiku Abwao yukowapi jamani?
Mara ya mwisho nilimsikia Iringa huko.
Kama ana mume anisamehe nilikuwa namzimia sana!
 
Tanzania ni kubwa sana ndugu yangu.
Yuko vijijini alienda kwa punda kupiga kampeni
 
Naomba mwenye taarifa, yule mama wa upinzani Chiku Abwao yukowapi jamani?
Mara ya mwisho nilimsikia Iringa huko.
Kama ana mume anisamehe nilikuwa namzimia sana!
Chiku Abwao ni mjumbe wa kamati ya chadema, makazi yake ni iringa mjini, vile vile anagombea ubunge viti maalum, yuko kwenye mchakato wa kampeni za ubunge iringa mjini akimnadi Mch Peter Msigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…