jamani chuo hiki vipi?

Ruhazwe JR

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2011
Posts
3,402
Reaction score
925
kuna chuo kinaendesha kozi mbalimbali kwa njia ya distance learning,fatili www.MUSTuniversity.com
nilitaka nisome ka-kozi kamoja lakini nakua na wasiwasi je hakuna utapeli?maana unawatumia ada kisha wanakutumia registration na material unaanza kupewa nondo then exm sijaona usalama wa pesa
pili kunakozi mabazo siamini kama kwa muda huo wanao utaja unaweza kuwa umeiva.do!inanipa wasiwasi sana kwa anaejua maswala ya distance learning anisaidie ushaur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…