Jamani Condom zipi ni nzuri?

Evans Martin

Senior Member
Joined
Jan 14, 2014
Posts
156
Reaction score
36
naomba msaada kwa wale wataalam wanaojua hizi Condom, zipi ni nzuri kwa matumiz ya binadamu??
siyo kwamba nachepuka!!, ni wasiwasi tu juu ya huyu mke jaman msaada plizzz...!!
 
siyo kwamba nachepuka!!, ni wasiwasi tu juu ya
huyu mke jaman msaada plizzz...!!
 
Kondom unaitaka wewe halafu wasiwasi kwa mke! Jifunze kuwa responsible na accountable Usimsukumizie mwingine matatizo yako, tumia sandarusi ndio ya uhakika halafu waweza itumia mara mbili
 
ushauri mwingine ni mgumu kuutoa, yaani una wasiwasi na mkeo, solution umeona ni kutumia condom. labda nikuulize utatumia condom kwa huyo mkeo hadi lini? au huo wasi wasi utaumalizaje kwa mkeo? Tatua ishu ya wasiwasi kwa mkeo
 
Kama wanaume wenye ndoa ndiyo tumekua hivi, POLENI dada zangu!
 
ni pm Mimi nikuuzie nna paketi tatu nlizinunua Nairobi hizi ni imara sana!
ni tamu pia ukishatumia unazifua na kuzitunza !
tangu nizinunue huwa natumia paketi moja tu naifua wakati mwingine nampaga dingi akatumie kwenye michepuko kisha ananirudishia nazifua natumia kwa madem zangu!
 
naomba msaada kwa wale wataalam wanaojua hizi Condom, zipi ni nzuri kwa matumiz ya binadamu??
siyo kwamba nachepuka!!, ni wasiwasi tu juu ya huyu mke jaman msaada plizzz...!!
Inategemeana na mwanamke unapanga kufanyanae,zipo za malaya naza wanawake wanaojiheshimu sasa inategemea huyo ni wa ainagani ili tukushauri.
 
tumia Azam lubricated with studs,....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…