TANZANIA NCHIYANGU
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 633
- 805
Sijui nilikuwa wapi hizi mambo mpaka zikanipitaNimeshamrushia mwambie tu akujibu nimegawa vocha za kumwaga leo kwa member wa jf
ok uwe unanitag basiUkiona tu uzi wangu cheki nami labda kutakuwa na offer
Malizia basi ofa ya mwisho kwa si tuliochelewa..nipe ya upendeleo plizzzPoleee sana mm sinaga kinyongo siku nikiwa na rahaaa
Billie gate wa kumsahau kweli?Siwez kumbuka jina nina fan wengi
Leo sina bahati na wewe kule kwenye mpenzi mtazamaji metolewa nje huku nako holaaaaHahahhaha hapan nitakiuka mashart
Nipe kwa niaba yakeNamtafuta yule member mwenye I'd @asubuhisana sjaona pm yake mpaka saivi apate pesa yake
Nipe kwa niaba yake
SawaNishachota saa nyingi
Eeeh hiyo nayo c umeninyima,nakuwa tu mpenzi mtazamaji pasipo madhara yoyoteMpenzi mtazamaji hahahaj mpiga chabo