Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

Ongeeni yooooooooooote, lakini kama unatumia kondomu hakuna cha utamu wala nini! Joto na kale kamsuguano kakikosekana mie hata ufanyeje huwa natimiza tu wajibu, basi!
 
Jamani mimi sipendi utani unaofanana na ukweli!

Ngoja gfsonwin anikumbushe, maana nilikuwa tungi, ikabidi nidilute na maji uhai ya myatatu ilikuwa imesalia! LOL

si unakumbuka ni ile siku ya show ya siba pale dar live ilikuwa patashika lol! kumbe alitumind eeh? mambo ya mjini hya bwana Preta akiona anaweza achia ukunga hapa.
 
Last edited by a moderator:
Ongeeni yooooooooooote, lakini kama unatumia kondomu hakuna cha utamu wala nini! Joto na kale kamsuguano kakikosekana mie hata ufanyeje huwa natimiza tu wajibu, basi!
ndyoko umeuwa mbavu zangu, ila sas pia hapa kuna jambo la msingi sana ambalo inabidi wadau tuliongezee katika mijadala inayokuja juu ya utam na ndom kweli upo? Kaizer hii nayo ni new thread. zimeshafika 11 sasa.
 
Last edited by a moderator:
Lakini kitambi changu na Shepu yako si vinaendana? Sasa hapo mlikuwa mmetoka wapi na gfsonwin?


Dah! aisee hapa na penyewe pananipa uzi mwingine, try to look at these women, kweli are they a living creature? sijui sikuzote mm ni mtetezi wa wanawake lakin hawa nashindwa kabisa. Kuna mtu akiwaona sijui atasemaje ngoja nimwete wee Bazazi ................njoo uku uone mambo haya?
 
Last edited by a moderator:
Kwangu mimi nafikiri kikubwa ni usafi muhimu sana..lakini pamoja utundu na ufreeness katika business.... wengine waoga hata usoni hataki umwangalie...
 
Kwangu mimi nafikiri kikubwa ni usafi muhimu sana..lakini pamoja utundu na ufreeness katika business.... wengine waoga hata usoni hataki umwangalie...

ndega umesema kweli juu ya ufree na nafikiri hili tatizo la mabinti wengi wa kiafrika. wewe unashauri nini juu a hili?
 
Yaani hapo kwa Kaizer utakuwa umelamba dume manake hommie wangu ana siku nyingi sana hajananiliu. Utafaidi sana maprotini yaliyokomaa...

Kaizer najua zakwako hadi zieleta toads baasi they are extremely sweet. they taste like honey lol i love it, nitazinywaje ma dear? nimemshtukia huya Asprin keshaanza kukuonea donge jins utakavyo faidi.
 
Last edited by a moderator:
Kaizer tell me the truth who are you datin? kweli mie love you but naogopa msongamano ma swtlo.

With me hakunaga Msongamano gfsonwin.... Kaunga alinivunja moyo ila sijakata tamaa kama Asprin ambavyo hajakata tamaa.....the difference is, with you we know exactly what we want to do and we have set targets,,,,.so kesho bara bara ya 18, no more no less....hadi tufikishane pale...si tumekubaliana vitoto vinafekigi? LOL
 
Last edited by a moderator:

i love that ma swtlo, so kesho bara bara ya 18 uwanja ni wetu hadi kieleweke. Lol naanza kabisa kujikoki na kungumanga siye hatuna mambo ya K-Y jell wala nini kitu natural tu. Dah itakuwa raha. Eiyer tayari yuko aipot kwenda kwa Kaunga sijui Asprin na Kongosho wao vipi.
 
Last edited by a moderator:
Mimi naweza sema, fulani nampenda kuliko fulani!

Na kwa ninaye mpenda love making inakuwa tamu. Maumbile ya sex organ hayahusiki sana, ingawa huge inaumiza; ndogo kama mwenye nayo anajua kuitumia haina shida. Kwangu kumpenda ndiyo determinant

Comments zako katika haya masuala ya unyumba ni well thought out Kaunga. Mi nakupongeza kwani ulichosema ndio ukweli wenyewe kwani hakuna mwanamke mwenye sukari na mwingine pilipili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…