Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?


but BAK tell me huyu alikuwa akimpeleka 2 times but alifikia climax, na huyu wa 7 times naye alimfikisha sasa je pana tofauti kwenye pleasure attained ?
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
well said Kaizer kesho bara bara ya 18 ndo mambo yote ma dia. love ya

Yaani apa gfsonwin, utamsikia Asprin anadai mi waziri wa ngono, lakini ni lazima uwe 'waziri' kama we want to enjoy the game au sio? I mean the more experience, the better....so barabara ya 18 kesho mambo saafi you wont regret.

Hao wengine, wapotezee tu manake kumbuka 'miluzi mingi, humpoteza mbwa' lol
 
Last edited by a moderator:
Naona hii sredi inakaribia kuisha. Kesho ntakuomba unifungulie sredi ya "Mwanaume kama mabinti" Umesikia shem gfsonwin?
Yaani mwanaume ako kama hivi eti...





Jaman babu yenu Asprin kachanganyikiwa lolz! Kaunga, Smile, Preta, sweetlady come and see this jamani .........sina hamuu nayo tena hii thread.

but nawashukuruni sana wote mliochania kwani mmefanikisha utafiti wangu karibuni sana siku nyingine. Real JF kisima cha maarifa.
 
Last edited by a moderator:
but BAK tell me huyu alikuwa akimpeleka 2 times but alifikia climax, na huyu wa 7 times naye alimfikisha sasa je pana tofauti kwenye pleasure attained ?

Mhhhh! gfsonwin....Swali gumu hilo mimi kulijibu maana sikuwepo kuona kama mdada alifikia kileleni LOL!...huyo alimfikisha round 7 kuna tofauti ndio maana unawasikia wakaka wakisema yule mdada mtamu sana maana hakuna kukinai na unayasikia maraha mpaka utosini lakini wengine hutaki hata kumuona tena maana ilikuwa ni karaha tupu!!!
 
Last edited by a moderator:
BADILI TABIA kumbe logic hapa ni utundu tu na wala siyo kwamba mtu si mtamu.

Utamu ni the way you feel when you are with your partner during sexual intercourse, wengine maji mengi wengine wakavu. Unaweza ukakojoa ndani kwa ndani mara tatu na ukawa mkavu, na wengine utaendelea tu ili mradi usije ukaambiwa impotent. Hiyo ndiyo tofauti. lakini napenda the way mtoa mada anavyoeleza mada yake vizuri sana, shule ipo. Keep well.
 
well said Kaizer kesho bara bara ya 18 ndo mambo yote ma dia. love ya
Msisahau kupitia mtaa wa 12 kuja kunijulia hali. Ntakuwa nakunywa guiness. Kaizer usichelewe kumleta huyu gfsonwin kwa sababu ntakuwa na safari nyingine.... Najua Kaizer unapiga kesto laiti, huyu binti Saint Anna itamfaa.
 
Last edited by a moderator:

na hili ndo tatizo BAK. binafsi extent ya pleasure ni moja ila utundu tu ndio tofauti
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK

mkuu unejoune nakushukuru sana kwa sifa zaako. hii ndio njia nzuri ya kupata habari toka kwa mtu unaye mwiniterview. lakin tell me kama nikiweza kukufikisha orgasm raha hiyo no tofauti na mtu mwingine akiweza?
 
Last edited by a moderator:
na hili ndo tatizo BAK. binafsi extent ya pleasure ni moja ila utundu tu ndio tofauti

gfsonwin....Fikiria pleasure ya 2 minutes na ile ya 45 minutes...Hata muziki wa kucheza kwa dakika mbili hauna raha sana ukilinganisha na ule wa kuucheza kwa dakika 45 🙂🙂



 
Last edited by a moderator:

hawa wengine waskutishe ma love Kaizer wala hawamsukumi mlevi.
 
Last edited by a moderator:
Kaizer najua zakwako hadi zieleta toads baasi they are extremely sweet. they taste like honey lol i love it, nitazinywaje ma dear? nimemshtukia huya Asprin keshaanza kukuonea donge jins utakavyo faidi.

Khaa.............!:coffee:


ushabiki sitaki kwa Kaizer wangu. hebu rudi kwa Kongosho manake zakwako umeshazichakachua they taste like ukakasi.

Kaizer mwaya miye hata sijali manake kama ulkuwa na huyu ntumaini ulijua jinsi ya kukata kiuno manake lazima alikufundisha mwaego, swtlo

hahahhaa nimejailbrake..huwezi amini I couldnt view all these posts gfsonwin, huyu Asprin kumbe alishastuka sehemu sehemu bora umejua kumtuliza......lol
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin....Fikiria pleasure ya 2 minutes na ile ya 45 minutes...Hata muziki wa kucheza kwa dakika mbili hauna raha sana ukilinganisha na ule wa kuucheza kwa dakika 45 🙂🙂




nafikir nina kitu kwenye akili but nashindwa kukielezea in detailz@bak. ishu ni kwamba raha aile yenyewe inatofautiana extent yake kweli? no matter umeingia round ngapi?
 
Last edited by a moderator:
nafikir nina kitu kwenye akili but nashindwa kukielezea in detailz@bak. ishu ni kwamba raha aile yenyewe inatofautiana extent yake kweli? no matter umeingia round ngapi?
Skiza gfsonwin mpendwa....

Raha ya bao ni ile ile haina tofauti bana.... Liwe la penalt, kona la move au hata la kujifunga mwenyewe.

Tofauti ipo pale kwenye namna na ufundi wa kulitafuta hilo bao.... Hapo ndo kwenye tofauti. Lakini kwenye kuachia yale makitu, burudani ni ileile kama anayepiga punyeto.

Baada ya kusema hayo, natamka rasmi kuwa Sredi ako Klozd.

Twendeni tukapumzike wekiendi ishaingia tukapige ulabu. Kesho tukajiruuusheeee!
:clap2:
Kwaherini watoto!
 
Last edited by a moderator:

you are very right Asprin this is what i expected. Good afternoon sir.
 
Last edited by a moderator:
nafikir nina kitu kwenye akili but nashindwa kukielezea in detailz@bak. ishu ni kwamba raha aile yenyewe inatofautiana extent yake kweli? no matter umeingia round ngapi?

Well hapo kwen round ngapi naweza kuwa na neno pia

Maana, kwa uzoefu ni kwmaba kwa mwanaume first orgasm/bao inakuwa ni haraka na 'utamu' wake uko juu kuliko consequent ones. ceteris paribus

Kinachofuata hapo ni 'maboresho' niseme...ile psychological satisfaction inategemea sasa na ingeredients zingine...mfano la pili unalipata lests say after 45 minutes kwa mujibu wa BAK, ila unalipata kwa mazingira gani? kama within those 45 minues, mpenzi wako kwa maana ya mwanamke uliye naye ( I abhor magay), ame c.um several times, kisha ndo 'ukamalizia', definately kisaikolojia ilo bao litakuwa tamu zaidi na presumably nalipata after having a 'good sex' na sio tu ilimradi nje-ndani-nje-ndani

Nikija kwa upande wa wanawake, inawezekana pia la pili likawa 'tamu na kali' kuliko la kwanza kwa sababu mwanamke yeye hana kurudi kwenye refraction...akishakuwa level, basi ni orgasm tu kutegemea na the way mwanaume atavoweza kummaintain katika hali hiyo, na ndipo experience, intimacy na vitu kama ivo vinahitajika ili aweze kuendelea 'kukubali' lol kinyume na ivo anaweza asifike hata mara moja.

sasa watoto mkalale sawa?
gfsonwin where are you mamito.. Kaunga ndo keshachapa mwendo? Kongosho umeshapata compatibo? Asprin amesema sred klozd eti
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niisogeze bastola yangu karibu hiki kibabu kinanyemelea utam wangu naona hakijipendi!. . . . But i wish AshaDii aje hapa!
 
nafikir nina kitu kwenye akili but nashindwa kukielezea in detailz@bak. ishu ni kwamba raha aile yenyewe inatofautiana extent yake kweli? no matter umeingia round ngapi?

Inategemea na mautundu ya wahusika wote gfsonwin...Unaweza kuwa na mtu wa dakika 10 au 15 wote mkafurahia sana kuliko yule anayeweza kushughulika kwa 45 minutes....sasa kama mautundu yakiwepo na wakiweza kufanya vitu vyao kwa zaidi ya dakika 10 au 15 basi pleasure inakuwa zaidi kwa wahusika wote...Fikiria umealikwa kwnye party halafu ukaenda kuhadithia rafiki zako kwamba weekend hii nilihudhuria party nilicheza muziki kwa dakika mbili 🙂 (watu hawatakuelewa LOL) lakini ukisema nilicheza muziki kwa dakika 45 basi hakuna atakayekushangaa...hata hapa tumeshaona watu wakilalamika kwamba wana matatizo na hivyo kuomba ushauri wa jinsi ya kuweza kuongeza muda toka dakika chache walizojaliwa.


 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…