gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
- Thread starter
-
- #241
gfsonwin kuna msemo unapendwa sana kutumiwa na wadada...."Mtamaliza mabucha yote lakini nyama ni ile ile."....Huu msemo haona mantiki yoyote....Kuna njemba aliwahi kuandika hapa miaka ya nyuma na akatoa mfano hai ambao ulimhusu...Huyu mkaka yeye alikuwa akienda round mbili basi huwa katosheka kabisa hataki tena kumgusa mtu kwa usiku/mchana wote uliobaki. Akasafiri kwenda Mbeya kikazi kule akaona si vibaya ajitafutie dogo dogo wa kujirusha naye. Aliandika yule dada alikuwa na ngozi laini sana kama ya mtoto mchanga. Basi dada akakubali kujirusha naye. Basi kule kwenye majambo jamaa aliweza kwenda round 7 akabaki anajishangaa ni wapi kaupata uwezo mkubwa kiasi hicho ambao hajawahi kuwa nao na hakutumia mazagazaga mengine yoyote yale ya kuongeza performance. Siku zilizofuata akawa anamtafuta yule dada kwa udi na uvumba ili ajirushe naye tena lakini hakubahatika kumtia machoni tena...Nina hakika angemuona si ajabu angerudi naye Dar 🙂🙂...halafu mnasikia fulani kaokota mdada barabarani tu kaamua kumuoa. Hata kwa wakaka pia kuna tofauti...Fikiria yule wa dakika mbili na yule ambaye anaweza akapiga 45 minutes akifanya vitu vyake.
but BAK tell me huyu alikuwa akimpeleka 2 times but alifikia climax, na huyu wa 7 times naye alimfikisha sasa je pana tofauti kwenye pleasure attained ?
Last edited by a moderator: