take care saaaaaaaaana ndugu, atakutumia na picha zake kibao ili uzuzuke...at the end CHUNGA ACCOUNT NO yako,pia ushauri wa bure kw mnao toka benki na vikaratas vya accont no zenu mna tupa ovyo ovyo,au mnapenda kuwapa wa2 ATM card zenu...mtajalia kama mbuzi! Technologia inakuwa kila sekunde for +ve and -ve impacts!