jamani eeeeeeeeeee NIMECHOKA KUKOPWA....!

duh,mpango ninao though sidhani kama ni priority.....mi ntaka kununua dearest,sitaki kununuliwa....hata mi bado nahesabu,na u sweet 16 wangu bado mchanga kabisa....l.o.l
Kwa kweli muda umefika na sie wa kuchagua tunavyovitaka, sio kila siku kuchaguliwa tu kama karanga
 
acha kufanya biashara. wala hutowaona wakopaji
 
Saaly nani kakukopa tena? nije nimsaidie kulipa deni
 
hahahaha,unauza bei gani?
we dume au mke?
 
yaani JF saivi haidi wauzaji wa uwanja wa fisi wame vamia?
kaazi kwel kweli,nendeni jukwaa la uchumi basi
 

Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Saaly kama uko serious;mimi mwenyewe nilikuwa natafuta.Nenda katizame thread yangu yenye kichwa cha habari MAHUSIANO halafu unijulishe.
 
Mmmhhhh, nenda majembe ndo kiboko yao, kama wamekopa watalipa. Ila kama ulikodisha, wanatumia na kurudisha, usikodishe tena eee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…