jamani eeeeeeeeeee NIMECHOKA KUKOPWA....!

what abt quality, price, guarantee & delivery?
Vyote hivyo vinategemea na muuzaji ndio maana unaona baadhi ya wanunuzi na watumiaji wanataka kuonja kwanza ili wajue hayo niliyoyabold hapo
 

wadada wengi wametumia hii approach............
It really proves right,
Tafakari, chukua hatua!!!!
 
duhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh


siamini kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

Thanks Paka J....
nitazingatia ushauri wako
 

Thanks Michele kwa kunitia moyo,as umri unavyosogea i get desperate.
 
Kununua na kukopa ndo biashara. Wengine wanakuja kama wanunuzi kumbe wakopaji wenye maudhi. Huwezi kuacha biashara eti kwakuwa wakopaji ni wengi, inabidi uwaangalie wateja wako kwa makini, la sivyo watakuumiza moyo mpaka maini.
 
Kununua na kukopa ndo biashara. Wengine wanakuja kama wanunuzi kumbe wakopaji wenye maudhi. Huwezi kuacha biashara eti kwakuwa wakopaji ni wengi, inabidi uwaangalie wateja wako kwa makini, la sivyo watakuumiza moyo mpaka maini.
Na akiweza vizuri anaweza wawekea interest ya mkopo badae akija kulipwa kunakuw a na ongezeko kidogo
 
Hata mi nilidoda kama wewe, mnunuzi alitokea bila kutegemea, nimempa jumla kwa bei pooooooooooooooa. Pray mamito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…