Jamani eeeh saidia huku ishu ya ndevu

Jamani eeeh saidia huku ishu ya ndevu

stevelwa

Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
72
Reaction score
20
Wadau wangu na wataalamu kiukweli jukwaaani hapa pamekuwa mahali kwangu pa msaada kwa muda mrefu sana kwa\ baadhi ya mambo ninayojionea humu, leo wakuu nimekuja na jambo la ndevu kwa wadada na huku nilipo si kijijini wala mjini naona linaota mizizi,sasa inakuaje jamani tafadhali nisaidiwe ingawa mimi si mhanga wa hilo ila ni mwanahakati wa kiafya kwaiyo napambana huku kijijini wadau. tafadhalini okoeni jahazi, kwa wale waliota na pia kwa nyakati hizi nini kinga zake? tayari huko mijini kuna dawa ambayo imethibitishwa na haina side effect? naomba kusaidiwa.
 
Haya nakusaida; muwe mnanyoa hivyo vimizuzu, msiwe kama yule mama msemaji wa jeshi la polisi , midevu mpaka amechonga O
 
Ni tatizo la hormonal imbalance, anaweza kufanya vipimo vya hormone levels na akashauriwa na dakatari kama vipimo vitakavyoonyesha... Tahadhari... vipimo hivi ni ghali kiasi kama 40,000/- kwa hormone moja na havipatikani mara nyingi katika hospitali za serikali..
 
Ni tatizo la hormonal imbalance, anaweza kufanya vipimo vya hormone levels na akashauriwa na dakatari kama vipimo vitakavyoonyesha... Tahadhari... vipimo hivi ni ghali kiasi kama 40,000/- kwa hormone moja na havipatikani mara nyingi katika hospitali za serikali..

Asante kwa ushauri MEASKRON sasa naomba walau unielekekeze hata hospital mbili tatu na mkoa zilipo walau nkafanya nazo personal contact ndugu yangu, thanx kwa kunijali, maana wadau wamenipuuzia possibly kwa vile nipo bush sijui.
 
sasa head teacher nmeuliza jinsi ya kukinga na kutibu, sikutaka mifano. ila poa mkuu
 
Asante kwa ushauri MEASKRON sasa naomba walau unielekekeze hata hospital mbili tatu na mkoa zilipo walau nkafanya nazo personal contact ndugu yangu, thanx kwa kunijali, maana wadau wamenipuuzia possibly kwa vile nipo bush sijui.

mkuu kwa Dar ni kama Regency, Agakhan, then kwa Arusha waweza kwenda Old Arusha Clinic, Total Care health centre, Wenzetu wahindi waligundua kuwekeza kule ambapo serikali imeshindwa!
 
mkuu kwa Dar ni kama Regency, Agakhan, then kwa Arusha waweza kwenda Old Arusha Clinic, Total Care health centre, Wenzetu wahindi waligundua kuwekeza kule ambapo serikali imeshindwa!

Mungu akubariki sana once nkipata fursa ya kumpeleka mtu very soon ntakupa majibu na mafanikio kwenye private meseji. be blessed. ina maana kwa mweny ndevu kabisa anaweza patiwa tiba zitoweke au inakuaje, kdgo ufafanuzi.
 
Wadau wangu na wataalamu kiukweli jukwaaani hapa pamekuwa mahali kwangu pa msaada kwa muda mrefu sana kwa\ baadhi ya mambo ninayojionea humu, leo wakuu nimekuja na jambo la ndevu kwa wadada na huku nilipo si kijijini wala mjini naona linaota mizizi,sasa inakuaje jamani tafadhali nisaidiwe ingawa mimi si mhanga wa hilo ila ni mwanahakati wa kiafya kwaiyo napambana huku kijijini wadau. tafadhalini okoeni jahazi, kwa wale waliota na pia kwa nyakati hizi nini kinga zake? tayari huko mijini kuna dawa ambayo imethibitishwa na haina side effect? naomba kusaidiwa.

Sawa mwanaharakati, lakini nasikia wadada wenyendevu wana mashine tight.
 
Back
Top Bottom