we unaonaje?
ili centre ya CPA iweze fanya kazi na itambuliwe na NBAA lazima kuwe na walimu wenye CPA, hata kama wewe ni mkali kama huna CPA you are nothing, chunguza vizuri hiyo centre yaweza kuwa haitambuliki
Yeah hiyo inawezekana kabisa kwani kwenye CPA kuna masoma mbalimbali, hivyo kila mtu ana uwanja wake wa kujidai!!
Mfano mzuri mimi nimehitimu katika chuo fulani hapa DSM, Kuna baadhi ya LECTURERS wapo nondo vibaya mno wanafundisha CPA lakini wao hawana!!
Ndo hivyo Kaka!!
Halafu kumbuka Teaching ni kipaji pia kwani unaweza ukawa na CPA lakini kwenye kudeliver Material ukawa hauko vizuri!!
Kuna mkoa mmoja nimeenda nikakuta kuna watu wanafundisha watu wanaotafuta CPA lakini hao walimu wenyewe hawana CPA, inakubalika hii? Au kama mtu amesoma finance anaijua vyema anaweza kufundisha? au kama mtu ana postgraduate ya taxation anaweza kuwa anafundisha somo la kodi hata kama hana CPA?
wadau mi sielewi, naomba kufaamishwa!