Jamani, eti mtu ambaye hana CPA anaweza kufundisha CPA class review?


ah! hii hiko deep sana aisee na nimeipenda! you are a great thinker! maneni mafupi lakini yanaeleweka!
 
anaweza akafundisha coz kuna wa2 wanajua kupiga wenzao msasa wa ukweli na wakatoka lakini wao wakiingia kwenye pepa ni Hola!
hivyo usiogope ndo maisha pia kuna possibility anayefundisha hana CPA lakini alishawai kusoma review na sitting kama kumi na hajatoka.mfano mzuri kwenye ki2o nilichokuwa ninasoma review alikuwa anafundisha TAX hana CPA Lakini wote kwenye hilo darasa 2litoka na maanisha tuliclear.hivyo ondoa shaka.
 

Awali ya yote haipaswi mtu ambaye sio professional kufundisha professional classes, kama una CPA that means unaqualify kufundisha kama huna basi hupaswi kufundisha UNLESS huyo mwalimu anadaiwa whether somo moja but hilo analofundisha anazo pass mark nzuri zinazomfanya awe eligible kufundisha, hiyo ndio condition nijuavyo mimi. Lakini pia hiyo review class inapaswa kuwa registered sio ya kimtaani mtaani tu ndo maana watu wanafeli kwani walimu hawawi competent, wanakuwa wa ilimradi tuu alifaulugi Finance akiwa chuo basi anajiona anaweza, sio sahihi.
Na wewe mwanafunzi nenda review class ya watu professionals acha kusoma mtaani mara moja!! alaa

 
Wanafundisha,tazama m2 kama Dk.mkoba alinitoa na amewasaidia wanafunzi wengi kwenye somo la international finance..wakati hajasoma CPA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…