Jamani HABARI ZENU:- NAOMBENI MSAADA WENU KWA HILI!

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
674
CHETI CHANGU CHA FORM FOUR HEAD MASTER WANGU KAKIUZA! Nimeshauriwa NIENDE NIKAMCHULIE RB! Sasa KABLA YA KWENDA POLISI NI VYEMA MNISAIDIE MAANA YA RB? NAWAOMBENI SANA WADAU MSAADA WENU!
 
RB. Report Book,au kitabu cha taarifa. baada ya kuandikisha maelezo ktk kitabu kilichopo mapokezi polisi. unapewa kikaratasi kiricho andikwa MF. RB/08/2014/KIRUMBA. ndiyo namba ya jarada lako polisi. sijui umenipata hapo?
 
RB. Report Book,au kitabu cha taarifa. baada ya kuandikisha maelezo ktk kitabu kilichopo mapokezi polisi. unapewa kikaratasi kiricho andikwa MF. RB/08/2014/KIRUMBA. ndiyo namba ya jarada lako polisi. sijui umenipata hapo?

Hajaamka huyu
 
rb. Report book,au kitabu cha taarifa. Baada ya kuandikisha maelezo ktk kitabu kilichopo mapokezi polisi. Unapewa kikaratasi kiricho andikwa mf. Rb/08/2014/kirumba. Ndiyo namba ya jarada lako polisi. Sijui umenipata hapo?

shukrani sana mzazi! SASA BAADA YA KUPEWA HIYO REPORT BOOKA NDIYO INAKUWA NI UHARARI WA KUMKAMATA HUYO MHARIFU? AU NDIYO MPAKA NIMTAFUTE POLISI WA KUMKAMATA HUYO MTUHUMIWA? Usichoke MKUU nipe somo!
 
Wewe katoe taarifa polisi wao watakuelekeza cha kufanya, kujua maana ya RB hakutasaidia lolote.
 
CHETI CHANGU CHA FORM FOUR HEAD MASTER WANGU KAKIUZA! Nimeshauriwa NIENDE NIKAMCHULIE RB! Sasa KABLA YA KWENDA POLISI NI VYEMA MNISAIDIE MAANA YA RB? NAWAOMBENI SANA WADAU MSAADA WENU!

orm for bado hujui RB? Kweli elimu ya Tanzania ni kimeo
 
Hii ndo ishara tosha kuwa elimu ya bongo haimsaidii mtu kujitegemea katika maisha ya kawaida,huyu kamaliza kidato cha nne bila shaka kafaulu vizuri hadi cheti chake kuuzwa. Kwetu elimu imebaki kufaulu mtihani na hiyo division 5 si itakuwa balaa zaidi?
Haya ndugu, au hapa tatizo ni lugha inayotumika ya ufupisho?
RB (Report Book?,kisheria hutolewa na polisi pale mapokezi,baada ya mlalamikaji kutoa maelezo yake,hutumika kama kumbukumbu ya taarifa ya tukio flani,kimsingi polisi ndo wenye wajibu wa kumtafuta na kumkamata mtuhumiwa,kwa kutmia maelezo ulotoa kama sababu ya kumkamta. Huwez wewe kwenda kumkamta mtuhumiwa wako kwan unawez kuhatarisha maisha yako.ukiona polisi anakwambia haya nenda ukamlete mtuhumiwa ujue anakiuka sheria.
Swali langu ni hili umejuaje kama mkuu wako wa shule kauza cheti chako ? Njia bora zaidi ingekuwa kumshitaki ulomkuta na cheti chako.
 



nilipofatilia ,nimegundua kuwa yeye ndiye amekiuza ,maana kwa upelelezi niliofanya nimebaini kuwa huwa ni tabia yake, nakushukuru sana mkuu tayari rb ninayo na mtuhumiwa wangu kakamatwa leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…