Jamani hapa kosa likowapi?

Cyclone

Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
71
Reaction score
14
Unaamua kumuacha mpenzi wako wa sasa na kurudiana na mpenzi wako za Zamani, mme ombana misamaha na mmekubaliana kurudiana. Kwanini hivi? baada ya kuachana kwa muda mrefu mnagundua kuwa kama vile mlipangiwa kuwa pamoja so mnarudiana, unamueleza mpenzi wako wa sasa ukweli juu ya hili?

je kosa lako hapa likowapi ?kwani kama ukiendelea kuwa naye utakuwa ni wizi mtupu upendo umerudi kwa zamani.
NB: hakuna external factor yeyote iliyo pelekea maamuzi haya ila tu labda destine
 
Kosa lipo kwa 'destine'.

Kama umeshamwambia ukweli inabidi akubali tu hali halisi.
 
kwa ambao hawaja oa wala kuolewa tu!
 
Ndo maana nasema sisi tusio na wanawake wakati mwingine tuna furaha!
 
kosa ni la kumpotezea muda mpenzi wako mpya. Kama ulikuwa bd wa mpenda wa zaman ungesubiri myasuruhishe
 
Hakuna kosa kwan umeamua kuwa mkweli,ni wanaume wachache sn wenye uungwana huu!
 
Kwaupande wangu kama tulishaachana na nimepata mpya naendelea nae huyo wazamani aendelea na mwengine, huyu mpya hana kosa kanipokea kwa mikono miwili vp nimuache kisa wazamani karudi au kaja omba samahani turudiane,hakuna cha destine wala nini ajipange mbele.....
 
Arabian.. hapo utakuwa hukumpenda wa kwanza ila kama ulimpenda aisee lazima utashidwa kuvumilia tu
 
 
Jamani, kuna wa zamani ambaye huwa hasahauliki, ije mvua lije jua.
Akikohoa tu unarudi mikono miwili
Kama umeshaoa au kuolewa waweza vunja ndoa.

Haya mambo hayana fomula, hakuna MAGAZIJUTO wala nini
 

kosa ni kumweleza baada ya kutafuna tunda lake....................lakini kama hujaligusa hakuna shida................bado mlikuwa hamjaenda mbali naye.....................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…