Arabian.. hapo utakuwa hukumpenda wa kwanza ila kama ulimpenda aisee lazima utashidwa kuvumilia tu
Hapana hata kama nilimpenda kama basi ishakua basi, jee huyu mpya nilienae hana kosa na amenipokea kwa mikono miwili,amenipa mapenzi wakati yule wa mwanzo tulipo achana leo eti kisa wa zamani karudi ndio nimtose huyu nilonae hapana,kosa lake nn huyu nilokuanae? vp nisahau wema alonitendea au nna hakika gani kama hatonitema tena? kwaupande wangu atabaki zilipendwa,na hata mawasiliano nae staki....
Unaamua kumuacha mpenzi wako wa sasa na kurudiana na mpenzi wako za Zamani, mme ombana misamaha na mmekubaliana kurudiana. Kwanini hivi? baada ya kuachana kwa muda mrefu mnagundua kuwa kama vile mlipangiwa kuwa pamoja so mnarudiana, unamueleza mpenzi wako wa sasa ukweli juu ya hili?
je kosa lako hapa likowapi ?kwani kama ukiendelea kuwa naye utakuwa ni wizi mtupu upendo umerudi kwa zamani.
NB: hakuna external factor yeyote iliyo pelekea maamuzi haya ila tu labda destine