Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
Wazazi wenzangu jamani hebu tujuzane,nyie ma last born wenu mna wa handle vipi.Wa kwangu yaani pasua kichwa,homework kufanya kwa mbinde,nguo ndo hivo anavaa zimejikunja,ukiingia chumbani mwake utadhani ni Kandahar,chakula ale sahani aache hapo,anachofikiria yeye ni video games,kucheza mpira,sinema,ili mradi basi tu. Toto kubwa la miaka 12 mpaka leo linalialia,yaani.
Na mamemba humu ambao na ninyi ni ma last born hebu nipeni experience ya makuzi yenu,mahusiano yenu na wazazi na kaka/dada zenu yalikuwaje wakati mnakua? pliz pliz tell me something.
Na mamemba humu ambao na ninyi ni ma last born hebu nipeni experience ya makuzi yenu,mahusiano yenu na wazazi na kaka/dada zenu yalikuwaje wakati mnakua? pliz pliz tell me something.