kama umeweza kuingia jamiiF then umeshndwa kuingia web ya tcu nahisi unamatatizo! majina yametoka siku 2 baada ya loan board kutoa yao ! muwe mnafatilia sio kla kitu kutafuniwa ! me mwenywe nmehamia udom na mzigo wangu (booom) upo huko! fungua site yao then click selected applicants 4 2012/2013 admision humo ndo utakuta kuna list kibao na hiyo ikiwemo ! kwa wale wazembe kujiongeza tcu wamewalahsishia wameongeza link nyngine palepale juu imeandikwa Updated list of transfered students 2012.. jaribu kuwa mdadisi ukiona news mpya tcu we angalia hata kama unahisi haikuhusu./...masomo mema n samahan kwa kuwa so harsh