Dr Temperature
New Member
- Aug 6, 2010
- 2
- 0
Yamenikuta mwenzenu,, natukanwa mie.. na mwanaume mwenzangu kisa kani-win mchumba wangu,,
ishu ni kwamba huyu jamaa amemtongoza na wamekubaliana huko, anaacha kukaa kimya anaanza matusi hivi hii inakuja kweli wanajamii?
naomba kama kuna wanaume wanatabia hizo naomba waziache maramoja, maana Reactions zake zinaweza kuwa na effects mbaya kuliko hata mtu anavyo fikiria
naomba mnishauri maana Baada ya kuona kimya kinazidi bila kupata majib ya matusi hayo,, Mwanamke anataka tuongee huku akiomba msamaha eti mii sijui situation iliyo mkuta yeye..
mnanishaulije hapo wanajamii
Du lugha kali sana mamii, unajua watu tunatofautiana sana kiulewa na hasa wale tunaokutana hapa JF. Kuna watu kila aina humu. all in all ujumbe wako ni mzuri ila lugha uliyotumia inaweza kufanya usieleweke vzuri na mhusika.
Achana na huyo mwanamke hakufai hata kidogo mshukuru mungu dalili umeziona mapema
Yupo mwema aliyeandaliwa ka ajili yako
Yamenikuta mwenzenu,, natukanwa mie.. na mwanaume mwenzangu kisa kani-win mchumba wangu,,
ishu ni kwamba huyu jamaa amemtongoza na wamekubaliana huko, anaacha kukaa kimya anaanza matusi hivi hii inakuja kweli wanajamii?
naomba kama kuna wanaume wanatabia hizo naomba waziache maramoja, maana Reactions zake zinaweza kuwa na effects mbaya kuliko hata mtu anavyo fikiria
naomba mnishauri maana Baada ya kuona kimya kinazidi bila kupata majib ya matusi hayo,, Mwanamke anataka tuongee huku akiomba msamaha eti mii sijui situation iliyo mkuta yeye..
mnanishaulije hapo wanajamii
Yamenikuta mwenzenu,, natukanwa mie.. na mwanaume mwenzangu kisa kani-win mchumba wangu,,
ishu ni kwamba huyu jamaa amemtongoza na wamekubaliana huko, anaacha kukaa kimya anaanza matusi hivi hii inakuja kweli wanajamii?
naomba kama kuna wanaume wanatabia hizo naomba waziache maramoja, maana Reactions zake zinaweza kuwa na effects mbaya kuliko hata mtu anavyo fikiria
naomba mnishauri maana Baada ya kuona kimya kinazidi bila kupata majib ya matusi hayo,, Mwanamke anataka tuongee huku akiomba msamaha eti mii sijui situation iliyo mkuta yeye..
mnanishaulije hapo wanajamii
Yamenikuta mwenzenu,, natukanwa mie.. na mwanaume mwenzangu kisa kani-win mchumba wangu,,
ishu ni kwamba huyu jamaa amemtongoza na wamekubaliana huko, anaacha kukaa kimya anaanza matusi hivi hii inakuja kweli wanajamii?
naomba kama kuna wanaume wanatabia hizo naomba waziache maramoja, maana Reactions zake zinaweza kuwa na effects mbaya kuliko hata mtu anavyo fikiria
naomba mnishauri maana Baada ya kuona kimya kinazidi bila kupata majib ya matusi hayo,, Mwanamke anataka tuongee huku akiomba msamaha eti mii sijui situation iliyo mkuta yeye..
mnanishaulije hapo wanajamii