jamani kwa wachagaa waliokuwepo moshi hebu mtukumbushe vita ya ukoo kati ya wachaga wa wamachame na wachaga kibosho.....kipindi hiko nasikia wachaga wa kibosho walikuwa wanajiita wayahudi na wachaga wa wamachame wakijitaa wapelestina..... Na chanzo nasikia mambo ya mali na ardhi....mpaka watu wengi walipoteza maisha....
Vita kati ya majirani hawa -Kibosho vs Machame - havikutokea enzi za
karibuni. Lazima itakuwa kabla ya wajerumani kuja Kilimanjaro kati ya 1840 na 1860 hivi.Hakuna kumbukumbu hai za vita hivi.