Jamani hii dawa ni kweli au vituko vya madenti?


thanks mimi -soso kumbe haya mambo yapo hata ulaya mweh leo FL kuyaweka hapo amekuwa mpotoshaji wa jamii
ehehheee

naombeni kura zenu πŸ™‚
 
watoto!? angejua kujigijigi mpaka apate mimba na anajua njia za kuzichomoa.. Mimba unaweza kuhisi tangu siku ya kwanza...
 
Mh!!!! vituko tu ila hata mie nasikia fasida vidonge 3 inatoa mimba ndogo ka hizo.
 

Je ulipowasikia huuchukua hatua yeyote kuwashauri? Maana nahisi wewe kama dada yao lazima una la ziada la kuwaelimisha hata kuwakemea katika masuala kama haya
 

pregnant itago-away ndo nini?
 
njia rahisi ni kutumia chuma......unsokomeza chuma , uanakawinda kale ka Zygote, unakaminya kana filia mbali. Halafu na wewe unakufa kwa tetenasi ya hilo chuma.hapo sasa......
 
njia rahisi ni kutumia chuma......unsokomeza chuma , uanakawinda kale ka Zygote, unakaminya kana filia mbali. Halafu na wewe unakufa kwa tetenasi ya hilo chuma.hapo sasa......
Duh kweli sasa ushauri umeingiliwa, maana....πŸ˜•
 
thanks mimi -soso kumbe haya mambo yapo hata ulaya mweh leo FL kuyaweka hapo amekuwa mpotoshaji wa jamii
ehehheee

naombeni kura zenu πŸ™‚

Firstlady huku jamvini kuna watu huwa ni lazima waongee hata kama hawana cha kuonge, hatuwezi kuwalaumu though kwani midomo ni mali yao na wala hawailipii kodi. kwani wangekuwa wanalipia kodi wangeongea kidogo kupunguza malipo ya kodi hizo.

Yaani nimesoma mara nyingi tu watu wanabisha facts tena kwa nguvu na lugha za ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…