Jamani hii kali haijawahi tokea

dah bora umenirahisishia kuielewa ,nimesoma zaidi ya mara mbili lakini nilikuwa sielewi, kama ni mtihani ningefeli..
 
Nyiw wanaume, kama kweli umeamua kumsaliti mkeo (ingawa sishabikii hili), basi vaa pete yako ya ndoa na huyo dada ajue wzi toka mapema ili usije ukamuumiza hapo baadaye. Kwa kuwa uhusiano wenu utakuwa wa ngono (kwa mwanaume) na pesa (kwa hawara), basi kila mtu atajitahidi apate the best of all.

Poleni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…