Jamani hii ni kwa wanawake tu!. . . . . !Imetokea kweli na huyu hajaamua la kufanya!


Mkuu kwani unadhani hii story ni ya kweli? Ni ya kufikirika tu!
 
ebu nambie ayo ya sajuk wala syajui mwaya.....

basi bibie Rose1980, usitake hata kuyajua manake ni mitihan ambayo kwa mtu wa kawaida utahisi dunia haikupend na wala huna haja ya kuish ma dia.
 
Last edited by a moderator:
Hhahahah kweli hadithi njoo utamu kolea.....Hapo zamani za kale......waganga wa kienyeji ni waongo sana kuingiliana kinyume cha maumbile ndio dawa gani hiyo???

ahh yaan ndgu yangu mimechoka kabsa.....lakin shigongo anatafuta waandishi wa riwaya.....anawea akapata:second:
 
mganga na mume wangu watakuwa na undugu, ameona nimemnyima tigo, kaona aende kwa mganga! tigo yangu no!!
 
Kumbuka kwamba huo ni ugonjwa huwejua!

sawa Eiyer lakini pia kawa kweli huyo mama ni mcha Mungu anapaswa kujua kifo kipo na kiliumbiwa binadamu.asipoteze imani na msimamo wake wa maisha kwa sababu ya kifo coz anaweza fanya hayo yote na mtoto bado akafa tu.
Am speaking frm experience hapa,nilichunguliaga kaburi wakati fulani nikatakiwa kufanya something of the similar stupidity,mark you i had a one month old boy. Sasa nilitakiwa kuchagua kifo au kufanya hayo ya mganga,nashukuru Mungu nilisimamia imani yangu na kupona kwangu mpaka leo naona ni muujiza mkubwa ktk maisha yangu.
Nilijifunza kuishi kwa kujiandaa,anything can happen anytime. Imagine ingekuwa ni ajali huyo mtoto akafa hapo hapo huyo mama asingeishi?sasa kwa nini akubali kufanya dhambi kubwa iyo kwa sababu ya kuogopa kifo?
 

Umekosea sana kumtaja sajuki hapa maana hata kama story ya maisha yake kapitia mengi siyo mpaka kutakiwa kuingia kimumbile mtake radhi
 
Last edited by a moderator:
Hakuna situation kama hiyo hata siku moja eti kinyume na maumbile alafu akapone mtu mwingine na kama kuna waganga kama hawa ni mashetani na walaaniwe!



umegundua uogo wake enhh?
 
Umekosea sana kumtaja sajuki hapa maana hata kama story ya maisha yake kapitia mengi siyo mpaka kutakiwa kuingia kimumbile mtake radhi



athanteeeeeeeeeeee:israel:
 
Haya ndo aliyosema gfsonwin,ni kazi sana kupata ushauri wakati mwingine!

ushauri gani kwa vitu visivyotarajiwa na haviwezi kutokea ktk tiba za aina yoyote!
 
Last edited by a moderator:

pokea like 8 kwa post hii
 
hakuna jaribu lisilo na mlango wa kutokea no matter how long it will take nitastick kwa MUNGU wangu
 
Utamu hakuna kwani kaweka mambo ambayo ni laana kuyatenda na hata siku moja hakuna dawa kama hiyo!?
Shine umewah kumsikia mtu aliyesumbuka katika maisha akitoa ushuhuda? kama hujawah basi nyamaza kimya usiseme kuwa hakuna dawa kama hizi. Nimewah kumsikia mtu pale kanisan Agape kwa mchungaji Fernandis akitoa ushuhuda kama huo. tena yeye aliingiliwa na mganga kisha akampa dawa ya nyama iliyoandikwa kiarabu akamwambia kuwa aiweke kwenye tupu zake muda wa siku 5 na baadae aipike kwenye msosi anaokula mumewe. na maji ya kupikia huo msosi yawe yale aliyonawia hiyo tupu.

sasa hapo sijui wewe utasemaje............ life has got a lot ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:
Hapa nimepata picha kwamba wanawake ndio hupenda kukimbilia kwa waganga wanapopata changamoto...........

Samahani kumbe inawahusu KE tu..................LOL



mhh we nawe uo mchomoko unaotaka kuuchomeka apa wala sio
wanawake ndo wanaenda kwa waganga?...PAMADAKU
 
we unasema masharti ya mganga?
wapo watu weengi mno wanaamua 'kuachwa wafe'
au ndugu zao wanaamua basi acha afe
sababu ya kushindwa tu 'kutangaza msaada wa pesa'
wachangiwe apelekwe nje....

na huyo ni mganga au mchawi?
 
Kumbuka kwamba huo ni ugonjwa huwejua!

Ngozi ya mwanangu ina uhusiano gani na maumbile yangu? Ujue ndo maana Mungu katupa wanadamu utashi wa kujua mema na mabaya na hata kutafakari na kujua uhusiano kati ya unachofanya na unachotaka kitokea na ukiangalia hapa hakuna uhusiano wowote
 
kweli kuna haja ya kuhamia mars, kama tiba zimehamia kwenye kumegana tigo ahh basi bwana, halafu baada ya hapo mtoto kapona, na mi nimenogewa, ataendelea tu kunimega tigo??
 
Siku nyingine kama ni kuja na hadithi hapa njo na zenye kufundisha na zenye maana halisi siyo kutudanganya kama siyo wapembuzi!
 
Umekosea sana kumtaja sajuki hapa maana hata kama story ya maisha yake kapitia mengi siyo mpaka kutakiwa kuingia kimumbile mtake radhi

SIJATAMKA KWA MAANA KAMA HIYO UNAYOELEWA WEWE. mimi nilikuwa nataka nimwonyeshe rose kuwa kuna watu wanapita so mtu akitoa la kwake asikimbilie kulikataa la litafakari zaid. Yaelekea wewe hujayajua maisha dogo siku ukiyajua basi hutakuwa mtu asiyejua kufikir kama wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…