Kama hujui huo ndiyo upendo. Kama nafasi yenu inaruhusu kuwa pamoja kwa nini muache??Spending too much time with your husband,wife or your lover...is it good or bad?
Namaanisha muda wote mko pamoja hampeani hata break! Ukigeuka hivi yupo,ukigeuka vile unamuona labda mnafanya kazi maeneo ya karibu au sehemu moja.. mnaenda pamoja,lunch mnakua pamoja na jioni mnarudi pamoja..
everytime and everywhere?no thank you..
intention yangu ni kupata mitazamo ya watu wengine..
everytime and everywhere?no thank you..
nikionyesha upande ninaoegemea from the begining watu wataanza kuargue badala ya kucontribute their views!
i see..distance ipi nzuri zaidi kati ya masaa,siku,miezi au miaka??
mkiwa karibu all the time ni rahisi sana kukwazana..
Mnazoeana sana to the extent mnaanza kuchokana..
Purple nadhani inategemea.. Ingekua kua watu kuishi mbali ama kushinda mbali ni gurantee ya Mapenzi then basi wapenzi wengi wangekua hawakwazani. Hio sababu uliotoa kwa kweli haijani convience.