Jamani hii utaiaje? Baiskeli Honda? Au Honda Baiskeli?

Jamani hii utaiaje? Baiskeli Honda? Au Honda Baiskeli?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
baiskeli honda.jpg


Wapendwa katika kupambana na maisha ubunifu ni muhimu sana. Itumie akili yako katika kubuni mipango ya maendeleo. Akili haitakiwi kukaa bila kuwaza kitu hivyo usipowaza ya maana utawaza ya upuuzi. Usipowaza ya kwako utawaza ya watu.

Je unapenda kufanikiwa?
Achana na mambo ya watu akili iwe busy katika kupanga mambo yako na hakikisha unafanikiwa. Ya watu yanakupotezea muda na hayakusaidii. Huyu Jamaa anatafuta Ugomvi na Wachina ninamuonea Huruma.
 
Halafu mbwembwe zake!! mtaa wote unamjua!! By the way kijana anatamani awe kama wengine, lakini maisha na rasilimali zake ndio zimeishia hapo!! tumpongeze amejitahidi walau kufikia nusu ya ndoto yake.
 
Back
Top Bottom